je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Mimi nadhani ifike mahali tuache kupokea vitu vingi hasa jamii ya chanjo na chakula kutoka Kwa wazungu mana sio wote wanaotupenda Leo ukimwi kesho utasikia wameleta dawa wanaume tusizaliane.
Kesho kutwa watakuja na lingine Ila kwakuwa tumezoea kupewa hatutaweza kuacha misaada ya Ajabu na hovyo eti mzungu anatuletea biscuit na peremende kama walivyofanya kule Zanzibar ambapo watoto wakila wanazimia na hivi vitu madhara yake tutakuja kuyaona baadae Sana Kwa ujinga na uzembe wa wizara ya afya
Kesho kutwa watakuja na lingine Ila kwakuwa tumezoea kupewa hatutaweza kuacha misaada ya Ajabu na hovyo eti mzungu anatuletea biscuit na peremende kama walivyofanya kule Zanzibar ambapo watoto wakila wanazimia na hivi vitu madhara yake tutakuja kuyaona baadae Sana Kwa ujinga na uzembe wa wizara ya afya