VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Kuna vipimo vya HIV kwa kutumia mate. HIV wanaishi kwenye maji maji yote ya mwili. Lakini hivi vipimo vinapima kinga badala ya HIV wenyewe
Asante.....

Maji maji yoyote mean ata majimaji ya ukeni na sperms pia?

Inamaana mwanamme mwathirika akiejaculate kwa mwanamama bila kinga basi ni waz mwanamama uyo kaupata?
 
Asante.....

Maji maji yoyote mean ata majimaji ya ukeni na sperms pia?

Inamaana mwanamme mwathirika akiejaculate kwa mwanamama bila kinga basi ni waz mwanamama uyo kaupata?
Tena hayo ndio yana kiwango kikubwa cha VIRUSI.
Mwanaume akiejaculate ana mweka mwanamke katika hali kubwa ya kupata maambukizi
 

Asante kwa jibu.

Je kuna ukweli kuwa kuna watu hawapati maambukizi ya VVU kutokana na aina ya damu yao?
 
Dah, hapa taifa zima tuna dalili za hiv basi.
 
Tena hayo ndio yana kiwango kikubwa cha VIRUSI.
Mwanaume akiejaculate ana mweka mwanamke katika hali kubwa ya kupata maambukizi
Mhuuu...... Maji ata maziwa ya mama?
Inamaana denda tu linaeza sababisha maambukizi?

Apa unanchanganya maana tungekufa mno...

Nshawai kwenda sijui wanaita Ctc kuna Doctor akaniambia Virus wanaishi kwende damu pekee,

Tena akanimbia ili mtu aathirike ni lazima michubuko iwe kwa wote wawili na ile michubuko igusane( muingiliano wa damu)
 
H

Hapana. Huwa hazijitokezi zote kwa wakati mmoja
Je ni baada ya muda gani unaweza angalau kuwa na ka imani kidogo baada ya kukunjuka peku na usiyemwamini amini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baba hii chai hamna VVU kwenye majimaji mengine zaidi ya damu....
Kweli mkuu nazani anautaalamu wa mambo haya lakini si general hivyo......

Ila kama wanakaa kwenye damu mbona nshawai skia kipimo cha mate ndo nkawa najiuliza inakuaje?
 
Kweli mkuu nazani anautaalamu wa mambo haya lakini si general hivyo......

Ila kama wanakaa kwenye damu mbona nshawai skia kipimo cha mate ndo nkawa najiuliza inakuaje?
Sasa kama wanakaa kwenye damu kwa nini upime mate!.. huyo bwana is empty kana can
 
Sio aina damu .. Lakini ni ukosefu wa vitu ambavyo tunaweza kuviita kama mlango wa viruses kuingia kwenye seli za mtu. Kuna watu hawana hivyo vitu(CCRK5) kwenye seli zao za damu hivyo hawapati maambukizi
Formula yangu huwa ni moja kama simwani mwenzagu sijaribu kufanya kitu chochote ambacho kita risk maisha yangu
 
Naomba nithibitishie;
1. Je kweli kwa wenye blood group 0+ve na O-ve nasikia wana kama ilemavu wa cell zao ambazo ni sphere na hivyo kutoruhusu kuzaliana wala existance yao? (Naomba theory knowledge ya carrier in HIV and AIDS perspectives)

2. Je mbu anayenyonya damu ya mtu X mwenye maambukizi yA HIV hawezi kwenda mwambukiza mtu Y asiye na maambukizi hayo?
 
Maziwa ya mama yana virusi vya UKIMWI. Na mtoto anaweza kupata maambukizi ya VVU kwa kunyonya maziwa ya mama. Ndio maana kwa mama ambaye ana uwezo njia nzuri ya kuzuia maambukizi ni kumpa maziwa ya chupa

Mate yana kiasi kidogo cha VVU kuliko majimaji mengine ya mwili

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…