Hongera nadhan ukigundua ndani ya wiki moja ushatajirika mzeeNipo mbioni kugundua dawa ya hii kitu
Naomba nithibitishie;
1. Je kweli kwa wenye blood group 0+ve na O-ve nasikia wana kama ilemavu wa cell zao ambazo ni sphere na hivyo kutoruhusu kuzaliana wala existance yao? (Naomba theory knowledge ya carrier in HIV and AIDS perspectives)
2. Je mbu anayenyonya damu ya mtu X mwenye maambukizi yA HIV hawezi kwenda mwambukiza mtu Y asiye na maambukizi hayo?
JitahidiNipo mbioni kugundua dawa ya hii kitu
Mimi sinaDah, hapa taifa zima tuna dalili za hiv basi.
One day yesHongera nadhan ukigundua ndani ya wiki moja ushatajirika mzee
Yaap always success comes when you invest all of your time katika kitu kimoja na ukaweka bidii usiwe na mipango mingi zote zitafeliOne day yes
1.Ndani ya seli nyeupe za damu wanazaliana. Lakini wanaweza kuishi katika seli nyinginemfano kwenye ubongo ambao wanakuwa wamefubaa1.Mkuu inasemekana virus wanaishi ndani ya seli nyeupe tu? Ni kweli?
2.kama ni kweli vp kwenye mate,na fluid zingne ikoje?
3.mtu anayetumia ARV tunaiman anazuia virus wasizaliane na kama wako kwenye cell watabaki humo siyo? Na cell zina mda wake wakuishi ,je cell hiyo inavokufa na wao hufa na cell au ?
Bila shaka unaujuzi ila unamuuliza kwa kumpima kama ni mjuzi kweli simple tu maswali yako ni yakitabibu kama si mtu mchukua dozi tafadhariMteja /Mtu anapogundulika ni HIV+... Ni vipimo gani kwa sasa ambavyo huwa anatakiwa kufanya na kwa interval ipi kama vile kwa ajili ya Monitoring ya CD4, kucheki wingi wa virusi, athari za dawa kwa mgonjwa kwenye figo na ini..... Nawaza tuu...
AbsolutelyYaap always success comes when you invest all of your time katika kitu kimoja na ukaweka bidii usiwe na mipango mingi zote zitafeli
Ni kweli ana uelewa na maswali ya HIV. Ni mtoa huduma za HIV. Ndio maana maswali yake yamebase kwenye guideline ya taifa.Bila shaka unaujuzi ila unamuuliza kwa kumpima kama ni mjuzi kweli simple tu maswali yako ni yakitabibu kama si mtu mchukua dozi tafadhari
Kwa sasa inapaswa kucheki mfano figo, ini, CD4 kila baada ya miezi sita. Na ufanye kipimo kipi inategemea unatumia dawa za aina ipi
Kipimo cha kujua una hizi CCRK5 receptors au huna kinapatikaje? Nimepata hii intrest ghafla....Hapa umenena hakika
Kuna baadhi ya kundi hawana hii receptor CCRK5
Mkuu ilinibidi nichimbe kidogo uko sawa kabisa.....Sasa kama wanakaa kwenye damu kwa nini upime mate!.. huyo bwana is empty kana can
Nimeyafatilia maswali yake yote ila anauliza si kwa kutaka kujua bali kutaka kupima uwezo wa mtu si mbaya utu uzima dawa mjibu kwa hekima kuu naamini atatoka berenge mwenyewe usikute wew ndio mkuu wake wakazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli ana uelewa na maswali ya HIV. Ni mtoa huduma za HIV. Ndio maana maswali yake yamebase kwenye guideline ya taifa.
Asante mkuu . Sasa kuhusu pep mtu akipewa husemekana inazuia replication ya virus ? (Kama nmekosea naomba unisahihishe)kwahiyo wanaweza kubaki kwa no. Walioingia wakabaki hiyo hiyo ? &1.Ndani ya seli nyeupe za damu wanazaliana. Lakini wanaweza kuishi katika seli nyinginemfano kwenye ubongo ambao wanakuwa wamefubaa
2.Seli nyeupe za damu kazi yake ni ulinzi zinaweza kwenda sehemu yoyote ya mwili
3. Seli ikifa virusi huama na kuambukiza seli nyingine
HIV-AIDS,ni ugonjwa ambao una mambo kama ya kishetani,fallacy nk. Iweje mbu asiambukize HIV? Ukiangalia dalili za awali za HIV utaona ni dalili pia za magonjwa mengine mengi tu yanapotaka kumuingia mtu(yeyote hata kama hana HIV),hivyo kuleta mkanganyiko. Kwamba unaweza kuwa na dalili alizozitaja mtaalam(Papa Mobimba) hapo lakini kumbe siyo HIV.Maswali yako unachanganya sana...
Swali la 1. Hakuna ukweli wowote juu ya defect kwenye watu wa makundi tajwa. Kinachozungumzwa ni ukosefu wa aina ya protein zinazoitwa CCRK5 kwenye seli za damu. Na hizi ziko kwenye seli nyeupe na wala sio seli nyekundu. Hivyo mtu mwenye group lolote la damu
Pili hakuna carrier katika maambukizi ya VVU. Watu wanaosemwa carrier huwa ni long term progresser ambao huchukua mpaka miaka 18 kuugua. Ni idadi ndogo. It's either unapata maambukizi au hupati hakuna carrier kwenye HIV
2. Mtu anayeweza kuambukiza ni yule ambaye ana maambukizi. Iwapo atanyonya akapata maambukizi basi anaweza kuambukiza pia
Una mambo wewe..... Tuko hapa kwa ajili ya kujifunza Mkuu. Nothing else.Bila shaka unaujuzi ila unamuuliza kwa kumpima kama ni mjuzi kweli simple tu maswali yako ni yakitabibu kama si mtu mchukua dozi tafadhari
Hahahahah...... Wewe funga na komeo tu.Kipimo cha kujua una hizi CCRK5 receptors au huna kinapatikaje? Nimepata hii intrest ghafla....