Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Unamaanisha kisex nae,,,,,,,yaah kuna vithibitisho kidgo vya hilo kitokea lkn daah ni kwa asilimia ndogo sana kidgo.Inakuwaje unatembea na Muathirika wa HIV na haupati?
Penis inapoingia kwnye vagina.....haikutani na damu moja kwa moja bali hukutana maji maji ya uke......yale maji maji ya uke ni matokeo ya kumuandaa mwanamke vizur sana katika kiwango kinachohitajika........sasa yale maji maji ya uke ya asili ya mafuta mafuta kdgo ko hupelekea eneo kua laini sana na kuzuia friction.........
Bila kumuandaa mwanamke vizuri na ukawa na pupa kiasi hata mazingira ya mwanamke yasiwe tayar kwa kuipokea penis kama nlivoeleza hapo juu....
Friction kati ya penis na ukuta wa vagina inakua kubwa na kupelea michubuko kwa pande zote mbili (vagina na penis) michubuko hio hupelekea kukutana kwa damu za hao watu wawili.........na kama kuna lolote bs wataambukizana.......na sio damu pekee hata lymph liquid zina carry virus......na ukikutana nayo direct na kupenyeza kwnye blood system yako basi unapata