Oxx
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 896
- 1,946
Trust me nngekua nshaasirika....!Haina faida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trust me nngekua nshaasirika....!Haina faida
Tena kimbia mbio za mbwa mwizi.... Wala usigeuke nyuma...... Tehe Tehe Tehe.....!!! Mtag na mwenzio huyo ......Mwathirika nini..??
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Tena kimbia mbio za mbwa mwizi.... Wala usigeuke nyuma...... Tehe Tehe Tehe.....!!! Mtag na mwenzio huyo ......
Hii mbona ipo sana, sema utakua hujajua, watu wanabadilisha damu na sio kwa wingiHakuna matibabu ya kubadilisha damu. Kumuwekea mtu damu nyingine kwa wingi ni hatari sana
Ok.Virusi wa UKIMWI wana uwezo wa moja kwa moja wa kushambulia mfumo wa fahamu hasa ubongo. Hivyo wakati mwingine mtu anaweza kuumwa matatizo ya akili kutokana na virus hawa. Mara nyingi wakianza kutumia dawa na kinga kupanda Ile ugonjwa wa akili unapona
Namsaidia.........virus huwa anaonekana sana......kwa vifaa vikubwa vya kitaalam.
Ukimwi maana yake ni upungufu wa kinga mwilini,,,,,,,sio kwamba ni ugonjwa flan,,,,,hapana ila ni kupungua tu kwa kinga mwilini. Kwa hyo kupungua huko kwa kinga mwilini ndo hupelea magonjwa hayo ulioyataja na kumpoteza mtu....na siku zote ndo ipo hvo.
VP kuhusu Gruop la damu linaushawishi wowote wa kumfanya mtu kuwa rahisi au ngumu kupata maambuzi ya HIV!!?
Kwani mkuu ulowala wengi wao washakula chepe mpaka unajiamini hivyo!!?[emoji846]Mbona wapo watu wengi ambao hawapati HIV? Nahisi na mm ni mmojawao .
Maana yake ni kwamba mmoja wa wanandoa anakuwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI na mwingine hana. Kinachosababisha hali hii haikujajulikana vizuri miongoni mwa wataalam wa HIVPapa Mobimba
Naomba unifafanulie dhana ya "discordant couple "
What is logic behind ya mama kunyonyesha kwa muda wa miezi 6 na mtoto asipate HIV ?Njia nzuri ya kumsaidia mtoto asipate maambukizi ni mama kutonyonyesha lakini kwa sababu familia nyingi haziwezi kumudu maziwa ya kopo. Mama atashauriwa kunyonyesha mtoto kwa muda wa miezi sita, zamani ilikuwa miezi mitatu
Hiyo ni risk mojawapoWhat is logic behind ya mama kunyonyesha kwa muda wa miezi 6 na mtoto asipate HIV ?
As far as tayari mama ni mwathirika na anaweza kumuambukiza mwanaye anapomnyonyesha ?
AIDS IS A SYNDROMEAhsante kwa jibu lako, Lakini bado nina ukakasi Kuhusu ugonjwa na maana yake
Mwalimu wangu alisema
Disease is abnormal condition in the living body
Upungufu Wa kinga si abnormality?
Hicho kitu unachokisema kinaitwa Massive Blood Tranfussion ina madhara zaidi kuliko faidaHii mbona ipo sana, sema utakua hujajua, watu wanabadilisha damu na sio kwa wingi
AsanteUmenifanya ni revie topic ya HIV and AIDS.
Shukrani kwa majibu ya uhakika.
Kwahiyo chance ya mama mwathirika kumuambukiza mtoto anayenyonya ndani ya miezi 6 ni ndogo ukilinganisha na muda baada ya miezi 6 ya tangu mtoto kuzaliwa? Kama jibu ni ndiyo, mechanism ya jambo hili kitaalam ikoje mpaka iwe hivyo?Hiyo ni risk mojawapo
Mtoto kuanzia miezi anakuwa ameisha anza Kula vyakula vingine hivyo hatari ya kupata vidonda mdomoni inakuwa kubwaKwahiyo chance ya mama mwathirika kumuambukiza mtoto anayenyonya ndani ya miezi 6 ni ndogo ukilinganisha na muda baada ya miezi 6 ya tangu mtoto kuzaliwa? Kama jibu ni ndiyo, mechanism ya jambo hili kitaalam ikoje mpaka iwe hivyo?
Kwahiyo kumbe VVU kwenye maziwa ya mama haviwezi kumwingia mtoto mpaka pawe na blood contact kati ya VVU kwenye maziwa ya mama na damu ya mtoto ? Kama jibu ni ndiyo, Je, hali ni hiyohiyo kwa njia nyingine za maambukizi ya VVU kama vile mate na majimaji ya ukeni/kwenye uume?Mtoto kuanzia miezi anakuwa ameisha anza Kula vyakula vingine hivyo hatari ya kupata vidonda mdomoni inakuwa kubwa