The Happiness
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 6,989
- 45,411
Sawa sawa mkuu, Karibu tukae hapa tujifunze!Kabisa,ni habari mpya kwangu.
Realy?! Kumbe virus wanaishi mpk kwny maji maji na sio damu pekee?!!Tena hayo ndio yana kiwango kikubwa cha VIRUSI.
Mwanaume akiejaculate ana mweka mwanamke katika hali kubwa ya kupata maambukizi
Ukiona records mbalimbali kampuni za apple na Samsung zina utajiri mkubwa kuliko kampuni za madawaJe n kwel makampuni yanayo tengeneza ARV yana utajr wa kutosha kulko kampuni la APPLE?
Baki hivyo hivyoUyu jamaa n muongo maana mpk saiv duniaan hakuna publication inayosema huyu ndiye HIV virus
Kid stop lying kama huna ukwel tafuta ela kanywe biaa tupo kwenye masherehe saiv
Matango pori ya semina zenu pelekea wasiojuaa
Mf mtu A amekutana kimwl na mtu B ambae ni muathirika na baada ya mwezi 1 mtu A akafanya vipimo vya HIV,Je majibu yatakuwa sahihi ?
Kwani askari polisi wanapatikana vituo vya polisi tu. Huwezi kumkuta askari polisi au post au koko beach??Realy?! Kumbe virus wanaishi mpk kwny maji maji na sio damu pekee?!!
Point yako hapa ni kuzungumzia mate au semen na vaginal fluidsUsione aibu kukubaliana na maandiko ya wenzio, sasa wewe unataka tukubaliane na andiko lako halafu wewe unakataa ya wenzioView attachment 978460View attachment 978465View attachment 978468
Kutokuona au kuona what difference does it make?Nilikuuliza swali kuwa umeshawahi kukuona HIV mpaka sasa hujanijibu ??
Hujajibu swaliKutokuona au kuona what difference does it make?
Whether umewahi kumuona mkeo anachepuka au hachepuki mwisho wa siku akaja na mimba... bado utasema hukumuona mkeo anachepukaNilikuuliza swali kuwa umeshawahi kukuona HIV mpaka sasa hujanijibu ??
Hunijui wewe!Nikupe tu siri muandishi wa huu uzi
Huu uzi ni wa kwako lkn kuna jamaa anajiita DECEPTION akija humu nadhan utaukimbia mwenyewe uzi huu
Hujamjibu swali mkuu, anakuuliza umewahi msikiliza? Lengo akuulize hizo hypothesis Zake Kama unavyosema, validity au invalidity zake zipoje?Theory zake zilisha kataliwa. Kama hujui analaumiwa kusababisha idadi ya wagonjwa wa HIV kufariki sana SOUTH AFRICA wakati wa utawala wa Thabo Mbeki.
Hebu fafanua zaidi mkuuMadai yake yalishapigwa...madai yake mengi ni ya model ya kihisabati. Sio ya kiepedemolijia