VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Uliuzaga match mamiiii?
 
Kwahiyo ulivokuwa chuo ulishaanza ngono. Afu hukutumia kondom...

Leo ukirudi nyumbani nakucharaza bakora makalioni.
 
Asante joanah....
 
Dalili ulizozitaja ni za mtu mwenye maambukizi; Kipimo ulichotumia ni rapid test na mara nyingi kinashindwa kuona virus hasa pale immunity ya mwili inapoanza kupambana na virus na kufanya virus kujificha kwenye DNA.

Ni vizuri ukaomba hospital wakupime kipimo kikubwa cha HIV. Na kama ukikutwa na maambukizi siyo mwisho wa maisha; anza dawa mapema nchini bado inakuhitaji kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda. Na ikitokea umekoswa koswa bob usirudie ufala wa kujilipua. All the best
 
Kwanini unapiga live band halafu uogope ukimwi, ila kipimo kinaonyesha ni kama huna hiv
 
Navyoogopaga neno ukimwi sijui niseme vipi? Mtu ameishapima lakini bado ana wasiwasi mi ndo maana niliachaga.
 
Hakika umenena vyema mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…