Tangu kuanza kutumika kwa Arv duniani hususani Sub Saharan Africa, maambukizi ya VVU/ Ukimwi yameongezeka sana kuliko kabla ya hapo. Unadhani ni kwa sababu gani!? Na kwa nini Africa tena Sub Saharan Africa!?
Dawa za kupunguza makali kwa wenye VVU, zina athari sana kwa watumiaji hususani watoto kwenye mifumo ya fahamu na akili. Inatupaswa tuamini na kukubali tu kwamba ni side effects tu za kawaida kama dawa nyingine!?
Njia ya kutoa dawa za kupunguza makali kwa wenye VVU Ukimwi na aina ya jamii inavyofundishwa jinsi ya kuishi nao, i.e. mara wasijulikane na wasinyanyapaliwe nk.ni njia ya hatari kisaikolojia kwa wale wazima. Maana yake ni kuwa, mwenye maambukizi analindwa na kuthaminiwa afya yake lakini yule mzima yuko katika hatari sana ya kuambukizwa . Kwa lugha nyingine mafundisho ya kuwalinda wenye VVU yanalenga kuongeza maambukizi mapya! Ww unalisemeaje hilo.
Nchi za ulaya na USA wanambinu nyingi za kupambana na kutimiza malengo yao ikiwemo biological weapons, chemical weapons, psychological weapons and etc. Kwa nini VVU na Ukimwi visiwe sehemu ya silaha hizo!?
Ukifuatilia vzr issue ya VVU Ukimwi na Arv, utaona kabisa, Arv na psychological treatment jamii inayopewa jinsi ya kuish na wenye VVU, ni tata na ni utaratibu hatari sana. Ingekuwa kama miaka ya 80's na early 90's ambapo dawa hazikuwepo, Ukimwi usingekuwepo. Tungeshuhudia na kuwapoteza ndugu zetu wengi kwa muda mfupi, lkn baada ya miaka michache wangeisha na wale waliokuwa wanabaki wangejulikana sababu ya hali zao.
Kitendo cha wenye VVU Ukimwi kutojulikana na kuishi kawaida tu ndiyo adui mkubwa wa janga la Ukimwi. Swala na kitendo cha kuwaficha ndani ya wazima na wakijulikana na kuwapa treatment tofauti kuitwa ni unyanyapaa ni psychological made up. Viliandaliwa makusudi, kwa sababu zamani walikuwa wanajulikana na Elimu yao ilikuwa kuwambia kuwa VVU ni hatari. Siku hizi ni vice versa.
Kwa nini pale mtu akiwaza, akisoma na kuzungumza yale yanayopinga taratibu za mzungu anavyotaka hata kama ni za uovu huchukuliwa tofauti na huonekani kukengeuka !?
Sent from my TECNO W1 using
JamiiForums mobile app