VW Touareg Inatafutwa, Budget ni Tsh Mil 20

VW Touareg Inatafutwa, Budget ni Tsh Mil 20

Chief wasikuvunje moyo jariibu kuagiza, used zipo za milioni 10 hivi mtandaoni, huku kodi watakukamua kama milioni 12.. Hiyo ni vwya 2006, cc 2001-2500.

Ama la ukitaka used za hapa bongo, zipo kibao, japo sikushauri saana, ila zipo nzuri, tafuta kisha unampelekea jamaa mmoja ni mwanafamilia wa hapa hapa Jf, mtu mmoja safii saana, ana gereji yake mwenge TRA pale, yeye ana deal na gari za ulaya tu, diagnosis na vitu vingine, unamcheki anakukagulia gari mambo yanasogea.. Usiogope chief.
 
Acha kumtisha mkuu, brevis hizi za milion 5 mtaani na tajiri hakuna au?

Sent using Jamii Forums mobile app
Anazingua hizo hizo brevis zimewashinda watu service vipuri bei ghali ndio maana mtu anawaza aidha akumbatie service ya million au auze gari? Wana opt kuuza kwa bei chee sababu running cost na maintanance ni ngumu kwa 2.5L car
 
Habari Natafuta Gari VW Touareg., Budget Yangu Ni Tsh Mil 20. Kwa aliye nayo anaweza kuniPM, Nikipendezwa nayo tufanye biashara.

Asante

Kwahio Pesa vuta Harrier tako la nyani,Vanguard au Kluger! One of those cars utanishukuru na tena utapata ilio katika hali nzuri sana ukitulia!
 
Chief wasikuvunje moyo jariibu kuagiza, used zipo za milioni 10 hivi mtandaoni, huku kodi watakukamua kama milioni 12.. Hiyo ni vwya 2006, cc 2001-2500.

Ama la ukitaka used za hapa bongo, zipo kibao, japo sikushauri saana, ila zipo nzuri, tafuta kisha unampelekea jamaa mmoja ni mwanafamilia wa hapa hapa Jf, mtu mmoja safii saana, ana gereji yake mwenge TRA pale, yeye ana deal na gari za ulaya tu, diagnosis na vitu vingine, unamcheki anakukagulia gari mambo yanasogea.. Usiogope chief.
Pitia vizuri TRA calculator mzee baba asije jamaa akajuta hapo TPA
 
Hamna gari humo pasua kichwa hilo yani hapa mjerumani alifeli kama muingereza kwenye rand rover 110
Ulishawahi kuimiliki hiyo gari? Au ni zile stories za kwenye kahawa na balimi?

Nimemiliki hiyo gari kwa miaka minne. Nikaiuza. Wakati nikiwa nayo, nimesafiri kwenda Arusha, Mwanza, Musoma, Iringa nk. Ni gari comfortable kwa safari na mwonekano pia. Kama leo ntanunua gari, itakuwa chagua langu la kwanza tena.

Sijui hizi stories watu mnazitoa wapi....Gari inakunywa mafuta (ebo..unataka inywe supu?), hakuna mafundi na blah blah nyinginezo. Ukweli ni kwamba VW ni gari nzuri. Ni gari comfortable. Ni gari ya safari. Ni gari ya kutembelea mjini. Ina kila hadhi ya kuitwa gari nzuri.

Mwisho wa siku gari yoyote ni matunzo na service.
 
Ulishawahi kuimiliki hiyo gari? Au ni zile stories za kwenye kahawa na balimi?

Nimemiliki hiyo gari kwa miaka minne. Nikaiuza. Wakati nikiwa nayo, nimesafiri kwenda Arusha, Mwanza, Musoma, Iringa nk. Ni gari comfortable kwa safari na mwonekano pia. Kama leo ntanunua gari, itakuwa chagua langu la kwanza tena.

Sijui hizi stories watu mnazitoa wapi....Gari inakunywa mafuta (ebo..unataka inywe supu?), hakuna mafundi na blah blah nyinginezo. Ukweli ni kwamba VW ni gari nzuri. Ni gari comfortable. Ni gari ya safari. Ni gari ya kutembelea mjini. Ina kila hadhi ya kuitwa gari nzuri.

Mwisho wa siku gari yoyote ni matunzo na service.
Sijawahi kukutana Na mhaya anaitwa masanja
 
Ulishawahi kuimiliki hiyo gari? Au ni zile stories za kwenye kahawa na balimi?

Nimemiliki hiyo gari kwa miaka minne. Nikaiuza. Wakati nikiwa nayo, nimesafiri kwenda Arusha, Mwanza, Musoma, Iringa nk. Ni gari comfortable kwa safari na mwonekano pia. Kama leo ntanunua gari, itakuwa chagua langu la kwanza tena.

Sijui hizi stories watu mnazitoa wapi....Gari inakunywa mafuta (ebo..unataka inywe supu?), hakuna mafundi na blah blah nyinginezo. Ukweli ni kwamba VW ni gari nzuri. Ni gari comfortable. Ni gari ya safari. Ni gari ya kutembelea mjini. Ina kila hadhi ya kuitwa gari nzuri.

Mwisho wa siku gari yoyote ni matunzo na service.
Hapana bwana mkubwa ni stori za kwenye vikao vya double kiki na nyagi ila we mwenzetu tunashukuru kwa kutujuza kuwa ulishaimiliki hiyo gari ukaenda nayo mwanza,musoma,arusha nafikiri ulikuwa ukitokea kwenu bukoba,,,
Wakora waitu👍
 
Back
Top Bottom