Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
ongeza tatu iwe 23
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu unachanganya. Touareg engine ndogo kabisa ni cc2500 diesel yaani 2.5Tdi. Then kuna 3.0Tdi, 3.2 petrol na kuendelea.Hata ww chungulia chief, utaona kodi ya toureg 2006, cc2001-2500 ni milioni 12 na chenji..
Hivyo akichagua ya milioni 10 hivi.. Pesa yake aongezee kidogo tu anachukua used toka duniani huko, kwetu mpya.
Katika tra calculator cc 2500 inaangukia katika kundi la gari za kati ya cc2001-2500, kisha kundi linalofata ndio cc2501-3000 na kuendelea.Kuna kitu unachanganya. Touareg engine ndogo kabisa ni cc2500 diesel yaani 2.5Tdi. Then kuna 3.0Tdi, 3.2 petrol na kuendelea.
Gari za wanyakyusa izo,[emoji23]tafuta ipsum
Hapana bwana mkubwa ni stori za kwenye vikao vya double kiki na nyagi ila we mwenzetu tunashukuru kwa kutujuza kuwa ulishaimiliki hiyo gari ukaenda nayo mwanza,musoma,arusha nafikiri ulikuwa ukitokea kwenu bukoba,,,
Wakora waitu[emoji106]
kwann wasema ivo?Gari za wanyakyusa izo,[emoji23]
Brevis hizi mnazotulazimisha tununue kwa laki saba mtaani.Kisa jini mla mafuta😀😀😀😀😀Kwa hiyo bei hata Brevis hupati ☹️
Mshahara wa aliyekuwa msema wa Mnyama unanua Brevis,tena ukiona wanalazimisha kununuaBrevis hizo mnazopigaga kelele humu na kubana pua kwamba ni milioni 5 hivi mmeshawahi kununua mkaona matokea yake? 😂😂 ,Brevis mtu akikuuzia kwa bei chini ya 10m usinunue
Unazungumzia Brevis ipi?Kwa hiyo bei hata Brevis hupati ☹️
Nimechungulia Be foward CIF price ina range kwenye 8-12M, ushuru TRA ni kama 10M so kwa hiyo budget yako unaeza pata mkoko mzuri tu kwa kuagiza. Kikubwa usiwe na haraka hata kama utapata ya kununua mkono kwa mtu hapa Bongo... nenda taratibu!!Habari Natafuta Gari VW Touareg., Budget Yangu Ni Tsh Mil 20. Kwa aliye nayo anaweza kuniPM, Nikipendezwa nayo tufanye biashara.
Asante