Vyakula ambavyo haviruhusiwi kutumiwa na binadamu

Vyakula ambavyo haviruhusiwi kutumiwa na binadamu

Kitu kinachomtia mtu unajisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu unajisi.” Mathayo 15:11
Na kwa utaalamu mtu anapokula mnyama mtamu kama nguruwe au bata anaweza jikuta anatamka unajisi hakika maana si kwa utamu ule! Nguruwe ni mtamu namshukuru wife kwa kunitengenezea na ugali jioni hii!
 
Kitu kinachomtia mtu unajisi si kile kiingiacho kinywani, bali kile kitokacho kinywani. Hicho ndicho kimtiacho mtu unajisi.” Mathayo 15:11
Baelezee baelezee mutu ya Mungu. Kwa mutu mwenye ana akili kwa kichwa, atajuaga neno ya Agano Jipya ndio neno ile ya kutupeleka mbinguni, na si kwa sheria na si kwa komplikashion, bali kwa neema itokayo Kalvari.
 
Back
Top Bottom