Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wachaga na wasukuma makabila hayo yangeshafutika dunianiKama nyama inasababisha kansa wamasai wangekuwa wameisha
Hapo namba 3 nimewazia Chips yai teketeke,nikasema ngoja nijitafakari kwanza...Salamu,vyakula ni vitamu,ila yapo makundi ukitumia Kwa wingi sana huenda vikakusababishia Canser.
1.Nitrates
2.Alcohol
3.Fried Food
4.Trans Fats
5.Canned Tomato
6.Food Dye
7.Mircrowave Popcorn
8.Red Meat
9.Hot Beverages.
10.Dairy
Mbuzi mzima masai wawili tu wanakula na walevi wa pombe kali hatari zike zenye alcohol nyingiUnadhani wanakula kizembe?
Ili tuendelee kuwapoteza tuwasisitize kula processed carbs, Sugar na seed oils.Red meat inaweza kusababisha gastric, rectal na colonic CAs. Kama hujui ni bora unyamaze tu
Wamo humu tafadhali nyama choma na ndizi choma unaota .Mchaga na nyama choma aisee Acha kabisaMi kwetu ni Kilimanjaro,sio kwamba watu wanakula nyama sana kama unavyodhania