Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwili wa sasa wa Prof.Janabi ni lishe duni Serikali imkamate kwa nguvu impige pingu imulishe vyakula vingi vya kutosha kuanzia vya wanga nk hadi mwili urudi vizuri.Pingu wakaazime magereza au polisi.FFU wasimamie zoezi la kumlisha chakula kwa bguvu ugali wa kutosha ,chai nzito ya maziwa ya kutosha,nyama choma ya kutosha ,na chakula kilichokaangwa vizuri kwa mafuta ,Juice za kutosha na maji ya kutosha alishwe mara tatu tatu kutwa kwa muda wa mwezi mmoja haki kamwili katabadilika
Hapo sawaHaina shida mkuu
Nyama choma zina addiction sanaKuna Mzee mmoja wa pale Usangi aliambiwa na Dr asile Red meat namfahamu,akapinga kauli ya Dr na alikufa mbona akiwa anajiona
Profesa Janabi hataki. Anasema sukari ni sukari tu iwe ya viwandani au iliyomo katika matunda asilia. Anashauri kutumia juisi kwa kiasi kidogo sana hata kama utatengeneza mwenyewe!Yes,kama Zina marangi sio,chukua matunda tengeneza mwenyewe weka sukari kiasi
Sumu tupu ile, haifai hata kuonjaSoda inauaje Kwa mfano ukinywa kiasi
Mnauhakika zamani kuikuwa hamna kansa??? Au kansa zilikuwepo Ila walikuwa hawazijuiWahadzabe wanashindia nyama mbona kansa kwao hakuna
Wazee wa zamani walikua wanashindia nyama tena mbichi.
Kuna siri kubwa kwenye ishu ya magonjwa ambayo mimi na wewe hatuijui.Mnauhakika zamani kuikuwa hamna kansa??? Au kansa zilikuwepo Ila walikuwa hawazijui
Kitimoto ndio mbaya zaidiKuna siri kubwa kwenye ishu ya magonjwa ambayo mimi na wewe hatuijui.
Mungu alitupa vyote duniani iweje atupe wanyama tutumie watupe magonjwa tufe?
Itabidi tuishi kwa uhalisia uliopo
Mimi binafsi nyama nayotumia ni Kitimoto siku mojamoja tofauti na hapo ni mwendo wa samaki.
Nimecomment kumpa challenge mleta mada ila asemayo ni kweli kulingana na wataalam wa afya
Dah jamani kuleni acheni maloloso bado mtakufa tu nawaambieni, kula fanya mazoezi ya kutosha basi.Kitimoto ndio mbaya zaidi
Bora ule mbuzi
Mbona almost vyakula vyote jamani??Salamu,vyakula ni vitamu,ila yapo makundi ukitumia Kwa wingi sana huenda vikakusababishia Canser.
1.Nitrates
2.Alcohol
3.Fried Food(Vyakula vya kuoka)
4.Trans Fats
5.Canned Tomato
6.Food Dye(Rangi za vyakula na vinywaji)
7.Mircrowave Popcorn
8.Red Meat
9.Hot Beverages.(Hot drinks eg Coffee)
10.Dairy(Vitu vilivyosindikwa).
Hivi fried food ni vyakuoka kumbe?Salamu,vyakula ni vitamu,ila yapo makundi ukitumia Kwa wingi sana huenda vikakusababishia Canser.
1.Nitrates
2.Alcohol
3.Fried Food(Vyakula vya kuoka)
4.Trans Fats
5.Canned Tomato
6.Food Dye(Rangi za vyakula na vinywaji)
7.Mircrowave Popcorn
8.Red Meat
9.Hot Beverages.(Hot drinks eg Coffee)
10.Dairy(Vitu vilivyosindikwa).
SawaWapi processed meat kama sausages na nyama za kwenye humburgers?
How does processed meat cause cancer and how much matters?
Processed Meat (Sausages, Ham, Bacon, Hot Dogs, Salami).
Processed meats do cause cancer - WHO