Vyakula sokoni bei iko chini sana

Vyakula sokoni bei iko chini sana

Ni Jambo La Kheri Mnoo,,Endelea Kujenga Afya Kwa Bidii Ili Ikuwezeshe Kupambana Na Maradhi,Umaskini Na Miujinga.
 
soko la temeke unamaanisha TANDIKA au stereo?

Soko la temeke ndo lipi tandika au stereo?

asee siku nmeenda mwanza nikikasirika. yan nlikua nasikia wanavosifia ooooh mwanza jiji la samaki na sato. mweeee sku nmeenda mwanza, ile kuulizia samak wa kukaangwa tena wa size ya kawaida tu eti wananambia elf 3. wakat samak huyo huyo dar nauziwa 1500.

mbez mwisho nako kuna maisha ya ajabu sana. sku moja nlikua natafuta unga wa mtama, sasa kwenda dukan naulizia wananambia kilo ya mtama ambao haujasagwa bei ni elf 3. nkaacha nkaenda bugurun nkakuta kilo ya unga wa mtama( yaan tayar ushasagwa) bei ni 1500 asee nlishangaa sana.

ila nlichogundua n kwamba, maeneo yenye wachaga wengi maisha huwa yanakua magumu sana by nature hata kimara napo pana maisha ya kiwaki sana. nmeishi moshi pia nako maisha magumu balaa.
Uko sahihi kimara kuna maisha magumu sana kwa vyakula
 
soko la temeke unamaanisha TANDIKA au stereo?

Soko la temeke ndo lipi tandika au stereo?

asee siku nmeenda mwanza nikikasirika. yan nlikua nasikia wanavosifia ooooh mwanza jiji la samaki na sato. mweeee sku nmeenda mwanza, ile kuulizia samak wa kukaangwa tena wa size ya kawaida tu eti wananambia elf 3. wakat samak huyo huyo dar nauziwa 1500.

mbez mwisho nako kuna maisha ya ajabu sana. sku moja nlikua natafuta unga wa mtama, sasa kwenda dukan naulizia wananambia kilo ya mtama ambao haujasagwa bei ni elf 3. nkaacha nkaenda bugurun nkakuta kilo ya unga wa mtama( yaan tayar ushasagwa) bei ni 1500 asee nlishangaa sana.

ila nlichogundua n kwamba, maeneo yenye wachaga wengi maisha huwa yanakua magumu sana by nature hata kimara napo pana maisha ya kiwaki sana. nmeishi moshi pia nako maisha magumu balaa.
Nimekupataa
 
Leonilienda siko la Buguruni nilichokutana nacho. Nyanya kisado 2500

Nyanyachungu fungu la 2000 hubebi. Viazi mviringo kindoo kidogo 3000

Mchele 1800. Vitunguu vya 2000 huwezi kubeba

Dkt. Mwigulu au marehemu Mafuru mlifanyafanyaje hapo?

Au ndio kuadimika kwa shilingi.
Inamaana hizi bei huja kutofautiana kwenye minada?

Maana jana nilikua maeneo flani hivi hapa mjini daslama kwenye mnada sado ya viazi mviringo ni 6,000 sasa nashangaa hiyo bei ya kindoo cha viazi mviringo ni 3,000 kidogo inanipa ukakasi wa bei zako.
 
Back
Top Bottom