Vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo la ndoa kwa haraka kwa mwanamke

Vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo la ndoa kwa haraka kwa mwanamke

Nijuacho mimi mwanamke anahitaji kupendwa na kujaliwa na mwenzi wake.Mwanamke akijua unampenda na kumjali automatically atakuwa na hisia za mapenzi , lakini akiwa na mwanaume asiyemjali wala kumpenda wala kujali hisia zake hupoteza hamu ya tendo kabisa.Na mwanamke akikutoa katika akili yake kamwe hawezi kuwa na hisia za mapenzi na wewe na nyege hupotea.
 
Nijuacho mimi mwanamke anahitaji kupendwa na kujaliwa na mwenzi wake.Mwanamke akijua unampenda na kumjali automatically atakuwa na hisia za mapenzi , lakini akiwa na mwanaume asiyemjali wala kumpenda wala kujali hisia zake hupoteza hamu ya tendo kabisa.Na mwanamke akikutoa katika akili yake kamwe hawezi kuwa na hisia za mapenzi na wewe na nyege hupotea.


salute again SALUTE TO YOU
 
Kwa hiyo hilo ndo limbwata lao....ngoja nivijaze gheto
 
Kwahiyo mkuu unataka kutueleza nini kuhusu wanawake wanaotoka maeneo yanakolimwa hayo mazao...?Ndio maana kwenye foleni pale mataa ya Ubungo mihogo huwa haikawii kwisha!!
 
Nijuacho mimi mwanamke anahitaji kupendwa na kujaliwa na mwenzi wake.Mwanamke akijua unampenda na kumjali automatically atakuwa na hisia za mapenzi , lakini akiwa na mwanaume asiyemjali wala kumpenda wala kujali hisia zake hupoteza hamu ya tendo kabisa.Na mwanamke akikutoa katika akili yake kamwe hawezi kuwa na hisia za mapenzi na wewe na nyege hupotea.
Inategemea na mwanamke mwenyewe.
Kama ana madeni kila kikundi cha vicoba
hata utumie mbinu gani za kupenda,
yeye kila mda anawaza wanaomdai,ukujidai kulipa
ili ajitume unashangaa kesho ana deni jipya.

uzuri maumbile yenu yanaruhusu mwenye
hama kupiga selfie na kujiondokea.
Mambo ya kuridhishana ni mpaka yule anayehitaji ndo anapata.
 
View attachment 341934


VYAKULA VINAVYOONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA HARAKA KWA MWANAMKE

Ni kweli kwamba kuna wanawake wengine huwa hata wakichezewa au kushikwashikwa kila mahali na mwanaume ili apate ashki[nyege] ya kufanya tendo la ndoa huwa ni kazi bure kwani hamu haimjii haraka au haimjii kabisa na hata akiamua kufanya anafanya tuu ili kumridhisha mwenzake.

Japokuwa hisia za mwanamke zipo mbali mno lakini kama mwanaume atamshikashika pande tofautitofauti za mwili wake na kumletea utundu wa hapa na pale basi hisia huja na akajiskia ni mwenye kuhitaji tendo hilo la kiutu uzima na akaweza ipasavyo.

Kama na wewe ni mmojawapo kati ya wahanga wa tatizo hilo nakushauri tumia dawa hizi zenye kupatikana kiurahisi kabisa katika mazingira yetu kwani ni zenye kusaidia kutibu kabisa matatizo ya kukosa hamu ya kufanya mapenzi kwa wanawake kwa haraka zaidi.

MBEGU ZA FENESI
Mbegu za fenesi zinafahamika na kila mmoja,ni zile ambazo zinapatikana ndani ya tunda la fenesi,kama mwanamke anapendelea kula tunda hizo kuanzia kumi au zaidi kila baada ya siku 4 baada ya kuzichemsha na kuiva vizuri basi hamu ya kufanya tendo la ndoa zitamzidia na atakuwa ni mwenye kutamani kufanya mchezo huo kwa matamanio makubwa sana....hii ni tiba nzuri kwa wanawake wenye tatizo hili.

UJI WA ULEZI
Wanawake wanashauriwa kunywa uji wa ulezi kila siku asubuhi kwani uji huu una uwezo wa kuamsha hisia za mapenzi

MUHOGO MBICHI
Imethibitishwa kwamaba kama muhogo mbichi kama utapendelewa kuliwa na mwanamke kiasi cha vipande5 pia vina uwezo wa kuamsha hisia za mapenzi au tendo la ndoa kwa wanawake.

KOROSHO
Nazo zinatajwa ni nzuri sana kwa kumuongezea mwanamke hamu ya kufanya tendo la ndoa akiwa ni mwenye kuzila mara kwa mara

Ukiwa na Shida yoyote ile unaweza kunitafuta Kwa Mawasiliano bonyeza hapa.

Kwa mawasiliano;
Herbalist Dr.MziziMkavu
Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
Simu (Whatsapp) na Viber +90 534 450 8169

View attachment 341938 View attachment 341937 View attachment 341939
plus frustration
 
Back
Top Bottom