Vupu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 1,769
- 1,248
Sio San mama. . sisi dude ki dAkika chache tuSisi wanawake tunatumia nguvu kidogo ila nyie mpaka mliamshe dude kwa nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio San mama. . sisi dude ki dAkika chache tuSisi wanawake tunatumia nguvu kidogo ila nyie mpaka mliamshe dude kwa nguvu
Sasa huo UJI WA ULEZI ndio tunawanywesha watoto wadogo kumbe una "MADHARA"
miss chagga chagaView attachment 341934
VYAKULA VINAVYOONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA KWA HARAKA KWA MWANAMKE
Ni kweli kwamba kuna wanawake wengine huwa hata wakichezewa au kushikwashikwa kila mahali na mwanaume ili apate ashki[nyege] ya kufanya tendo la ndoa huwa ni kazi bure kwani hamu haimjii haraka au haimjii kabisa na hata akiamua kufanya anafanya tuu ili kumridhisha mwenzake.
Japokuwa hisia za mwanamke zipo mbali mno lakini kama mwanaume atamshikashika pande tofautitofauti za mwili wake na kumletea utundu wa hapa na pale basi hisia huja na akajiskia ni mwenye kuhitaji tendo hilo la kiutu uzima na akaweza ipasavyo.
Kama na wewe ni mmojawapo kati ya wahanga wa tatizo hilo nakushauri tumia dawa hizi zenye kupatikana kiurahisi kabisa katika mazingira yetu kwani ni zenye kusaidia kutibu kabisa matatizo ya kukosa hamu ya kufanya mapenzi kwa wanawake kwa haraka zaidi.
MBEGU ZA FENESI
Mbegu za fenesi zinafahamika na kila mmoja,ni zile ambazo zinapatikana ndani ya tunda la fenesi,kama mwanamke anapendelea kula tunda hizo kuanzia kumi au zaidi kila baada ya siku 4 baada ya kuzichemsha na kuiva vizuri basi hamu ya kufanya tendo la ndoa zitamzidia na atakuwa ni mwenye kutamani kufanya mchezo huo kwa matamanio makubwa sana....hii ni tiba nzuri kwa wanawake wenye tatizo hili.
UJI WA ULEZI
Wanawake wanashauriwa kunywa uji wa ulezi kila siku asubuhi kwani uji huu una uwezo wa kuamsha hisia za mapenzi
MUHOGO MBICHI
Imethibitishwa kwamaba kama muhogo mbichi kama utapendelewa kuliwa na mwanamke kiasi cha vipande5 pia vina uwezo wa kuamsha hisia za mapenzi au tendo la ndoa kwa wanawake.
KOROSHO
Nazo zinatajwa ni nzuri sana kwa kumuongezea mwanamke hamu ya kufanya tendo la ndoa akiwa ni mwenye kuzila mara kwa mara
Ukiwa na Shida yoyote ile unaweza kunitafuta Kwa Mawasiliano bonyeza hapa.
Kwa mawasiliano;
Herbalist Dr.MziziMkavu
Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
Simu (Whatsapp) na Viber +90 534 450 8169
View attachment 341938 View attachment 341937 View attachment 341939
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀hhaahhahahahaha nimecheka jaman eti madhara !si unamuandaa mtoto kuwa active kunako!
hapa kuna mawili ;unaweza ujihis huna hamu ya dudu kumbe mume/mpenzi anakukera kunako bed hii nadhan haiapply kabisaaaa!
MBITIYAZA umeshajaribu hii kitu? nipe mregeshoo😵hhaahhahahahaha nimecheka jaman eti madhara !si unamuandaa mtoto kuwa active kunako!
hapa kuna mawili ;unaweza ujihis huna hamu ya dudu kumbe mume/mpenzi anakukera kunako bed hii nadhan haiapply kabisaaaa!
Hivi hata wanawake wana upungufu wa nguvu za kike?
kama una 35 hujachumbiwa hiyo samehe. utapoteza muda na ladha halisi bureee.. jilie vyako bibiweeeNikiolewa nitavitumia
niangusage tyuhahahha mie ugonjwa wangu mara nyingi ni malaria tu !huku nipo 'fit'
haya mtag atupe mautyam yakohahahaha nitamtag aje aseme
mh! setu soteeahahah sambi sako mwenyewe
nadhani hapa atakuwa anaKODO 😱 anasubiri kwa hamhahahaha anakuja soon utamuona tu