Vyakula vinavyoongeza nguvu na akili katika ubongo wa mwanadamu

Vyakula vinavyoongeza nguvu na akili katika ubongo wa mwanadamu

Mkuu ndizi ndo kiungo muhm kwa akil we si unaona kina meku kwa kumbkumb mahesab hapo sisemi
 
Blueberries kwa kiswahili nini na pia kama hapa DSM yanapatikana wapi
 
Blueberries kwa kiswahili nini na pia kama hapa DSM yanapatikana wapi
 
Nanasi pia inasaidia, hii niliipata kwa mwalimu wangu wa chuo!!
 
Duu!useful thread.
imenisaidia na mimi mno tu
Asanteni wote mliotoa michango
 
Asali vijiko viwili vya chakula, Lozi (badam)za kusaga vijiko viwili, maziwa fresh ya ng'ombe glass moja. Changanya hivyo vitu pamoja, kunywa kila siku kabla ya kulala.

Baada ya siku 40 utamshinda Rostam Aziz (the most intelligent person in Tanzania) kwa akili.

Majimsindo kama bado upo JF nijulishe hiyo kwenye red ndo nini?nataka nitumie ushauri wa hii sred kwa vitendo zaidi.
 
Pia mbegu za mlonge (kile kiini cha ndani cheupe) zinasaidia sana tumia mbegu tatu mara tatu na unashauriwa kila utakapotafuna mbegu tatu unywe maji lita moja nzima.
 
Samaki, samaki, samaki, samaki, wakubwa kwa wadogo, samaki, samaki tena wa maji baridi. Bila kusahau vyakula vyenye vitamin B.

Samaki wana DHA (docosahexaenoic acid) na EPA (eicosapentaenoic acid) ambayo ni muhimu kwa kumbukumbu na maitenance ya ubongo. Kwenye nchi za watu sasa hivi vitamin supplement pamoja na maziwa yanayouzwa yamekuwa fortified na DHA na EPA. Kwa vile sisi samaki wapo kibao, wewe endelea tu kula samaki. Samaki kwa familia yote!!

soma zaidi hapa:

Research has linked essential fatty acid (EFA) deficiencies with a wide range of psychiatric disorders including depression, anxiety, CFS/ME, biopolar disorder, alzheimers and schizophrenia.
Deficiency can be reversed by increasing the intake of EPA & DHA Omega 3s fats in the diet for a period of time and then maintaining regular intake.
Some people may have problems absorbing EFAs from the gut, which could exacerbate the level of the deficiency.
EPA Omega 3 is vital for the maintainence of healthy brain function as well as many other functions including circulation, joints, cells, skin, hair & nails

source:Brain, Depression, Stress, Memory Depression, Stress, Anxiety, Memory

Na hapa:

As we've already seen, EPA and DHA, found mainly in fatty fish and also in flaxseed, hemp, and walnut oils, are omega-3 fats that uniquely feed the brain.

DHA, more than EPA, is highly concentrated in our brains and nervous systems, and improves not only learning and age-related memory but also mood. The higher your blood levels of DHA, the higher your levels of acetylcholine and serotonin are likely to be. The reason for this is that DHA builds receptor sites and improves reception.

source:ParentFurther - FamilyEducation.com

Kwa habari zaidi, google DHA and EPA and brain functioning
 
Blueberries kwa kiswahili nini na pia kama hapa DSM yanapatikana wapi
Zinapatikana kwenye Supermarkerts au ukienda ule mtaa wa kisutu wanakouza matunda wahindi wengi huwa wananunua pale
 
Habari,
mke wangu ni mjamzito wa miezi mitatu sasa, naomba kujua jinsi ya kumfanya azae mtoto mwenye akili sana, kwan najua wahindi wana utamaduni wao wanafanyaga kuongeza uwezo wa akili ya mtoto kuanzia ktk hatua za ujauzito,

Ni nini kinatakiwa kufanywa katika hatua gan,

Naomba kujulishwa,

Naomba waliokuwa wastarabu zaidi wajibu, wale wanadhihaki wanyamaze tafadhali.
 
maandalizi ya kupata mtoto mwenye akili yanaanza kwenye kuchagua mchumba,kisha baada ya ndoa kujenga maelewano mazuri yenye mapenzi na kuzidisha zaidi siku ambazo zinauwezekano wa kupata uja uzito (nataraji unaelewa) kisha endeleza mapenzi mpaka kujifungua. Watakuongezea na wengine machache niliyoyaacha.
 
maandalizi ya kupata mtoto mwenye akili yanaanza kwenye kuchagua mchumba,kisha baada ya ndoa kujenga maelewano mazuri yenye mapenzi na kuzidisha zaidi siku ambazo zinauwezekano wa kupata uja uzito (nataraji unaelewa) kisha endeleza mapenzi mpaka kujifungua. Watakuongezea na wengine machache niliyoyaacha.
Thanks sana mr.Hussein Mlangwa.
 
Kaka kuna story juz nilikuwa naisoma katika mtandao kuwa ndege wakiwa na mayai kabla ya kuanguliwa huimba wimbo maalumu na mzuri kwa ajili ya watoto wao kifanya hivyo kunaongeza mahusiano na kuzaliwa mtoto mwenye afya.

Kwa wenzetu wazungu wanasema mtoto akishakuwa tumboni anauwezo wa kusikia unayaongea juu yake ndyo maana huwaimbia nyimbo nzuri watoto wao pindi wakiwa bado wapo tumboni na kuwanenea maneno mazuri kila siku na kuwaahidi vitu vizuri vizur kama ntakutunza na kukupenda wewe ndyo kila kitu kwangu ntakusomesha shule nzuri wazazi wako tunakupenda sana nitakulea katika misongi mizuri ntakuuza kipaji chako mwanangu napenda uwe mfano mzuri kwa wengine n.k

Kuongeza akili ya mtoto kuna Makala moja niliisoma ilikuwa inaeleza kuwa kitu kikubwa kinachosaidia mtoto kuwa na akili ni Breakfast (kifungua kinywa) hiyo makala inasema kuwa watoto wengi hawana akili mashuleni kutokana na kutokuwa na kifungua kinywa kizuri u kutopata kabisa kifungua kinywa wanadai kuwa Breakfast...
 
Back
Top Bottom