Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna video za Dr Sebi alisema starch + protein ni sumu kubwa mwilini. Hivyo ukipikiwa wali wa nazi na nyama ya ng'ombe au ugali nyama choma ni kaburi hilo.Haya mambo nilliaza ambiwa na jamaa yangu Mcameroon flan kasoma haya mambo hadi anakaribia kuwa chizi ananiambia usile kitu chochote kisichokuwa na mbegu ndani maana ni artificial. Ananiambia sijui nile vyakula gani ili mwilli uwe alkaline virusi na cancer na wadudu hawawezi survive.
Hali mihogo hali viazi yani hali kitu chochote kisichokuwa na mbegu.
so kama unakula ule proteins pekee au kama ni starch ule starch pekee? Jamaa naona anatazamasana video za jamaa ila jamaa karibia anadata anatazama na videos sijui za jamaa gani anaitwa sijui novel garden kitu kama hicho anaeleza bible in a different wayKuna video za Dr Sebi alisema starch + protein ni sumu kubwa mwilini. Hivyo ukipikiwa wali wa nazi na nyama ya ng'ombe au ugali nyama choma ni kaburi hilo.
Hebu angeza sauti kidogo mkuuKuna video za Dr Sebi alisema starch + protein ni sumu kubwa mwilini. Hivyo ukipikiwa wali wa nazi na nyama ya ng'ombe au ugali nyama choma ni kaburi hilo.
akikujibu nitagi mkuuSamahan huyo doctor ni mzungu ama? Na je yupo bado?
Shirika la afya la dunia linasemaje kuhusu hoja zake za vyakula fulani kutibu virusi?
Je vitabu vyake vinatafsirika?
Na hivyo vyakula katika hali ya kawaida vinapatikana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alizaliwa Horrendous, sasa hivi ni marehemu, vyakula vyake vingi ni hivi tunavyoviona kila siku, kwa mfano nyanya anazo zikubali ni zile nyanya ndogo ndogo sana, asali mbichi, nk.Samahan huyo doctor ni mzungu ama? Na je yupo bado?
Shirika la afya la dunia linasemaje kuhusu hoja zake za vyakula fulani kutibu virusi?
Je vitabu vyake vinatafsirika?
Na hivyo vyakula katika hali ya kawaida vinapatikana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtu mweusi alipona ukimwi,cancer na uhanidhi.Angalia video zake you tube utafaidika Sana kwa Mimi zimenisaidia Sana hasahasa vidonda vya tumbo kwa Sasa Niko fresh kabisa .Samahan huyo doctor ni mzungu ama? Na je yupo bado?
Shirika la afya la dunia linasemaje kuhusu hoja zake za vyakula fulani kutibu virusi?
Je vitabu vyake vinatafsirika?
Na hivyo vyakula katika hali ya kawaida vinapatikana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Black american nadhan ashakufaSamahan huyo doctor ni mzungu ama? Na je yupo bado?
Shirika la afya la dunia linasemaje kuhusu hoja zake za vyakula fulani kutibu virusi?
Je vitabu vyake vinatafsirika?
Na hivyo vyakula katika hali ya kawaida vinapatikana?
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeKuna video za Dr Sebi alisema starch + protein ni sumu kubwa mwilini. Hivyo ukipikiwa wali wa nazi na nyama ya ng'ombe au ugali nyama choma ni kaburi hilo.
Ndio mana walimsumbua hadi kumfunga na hatimaye alifariki, wazungu wanajua kua hawataki mfahamu haya mambo wao wanataka muendelee kunywa ma hennesy, ma wisky na mapombe huku mkijazia na machipsi maburger, ma kuku wa kfc, yani mle tu ndio mupate hayo makansa na makisukari mshindwe kutibu muanze madozi ya mionzi na upuuzi mwingine ili muzidi kujimaliza but ukweli ndio huu kwamba haya mavyakula ndio maugonjwa yenyewe na dr sebi aligundua hayo yote na nashukur Mungu nimeshtuka mapema.Dr. Ssebi alikua mtu muhimu sana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Endelea kushusha nondo mkuuNdio mana walimsumbua hadi kumfunga na hatimaye alifariki, wazungu wanajua kua hawataki mfahamu haya mambo wao wanataka muendelee kunywa ma hennesy, ma wisky na mapombe huku mkijazia na machipsi maburger, ma kuku wa kfc, yani mle tu ndio mupate hayo makansa na makisukari mshindwe kutibu muanze madozi ya mionzi na upuuzi mwingine ili muzidi kujimaliza but ukweli ndio huu kwamba haya mavyakula ndio maugonjwa yenyewe na dr sebi aligundua hayo yote na nashukur Mungu nimeshtuka mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app