Vyakula vinavyotibu cancer vipo kwenye vitabu vya Dr' Sebi

My favourite food ni nyama choma nusu kilo yenye maftafta na ugali na sukuma wiki plus kachumbari. Nikitoka hapo niletee juice inayoitwa castle lite ya briid kuanzia 16 had 27. Mhudumu awe anavutia
Hayo si mambo yenye kufaa kwa afya na vema ukabadilika.
Lakini, ukiona hayo ndiyo mapendekezo yako una Uhuru wa kuitekeza afya yako vile upendavyo.
Maamuzi yaheshimiwe!
 
Mnadanganywa tu. Huwezi tibu saratani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikosa maarifa na uwezo wa kufikiri nje ya box matokeo yake ndiyo haya!

Kwani unavyofikiri tiba ni capsules pekee sio!? Chakula na mfumo mzima wa maisha ndiyo tiba yenyewe ya maradhi. Sikushangai kwa uyasemayo kwani kosa si lako. Matokeo ya haya yote ni mchakato msururu ambao uko well engineered & institutionalised. Wewe ni final product..this is what they want you to believe.
 
Huyu mzee nilikuwa nasoma makala zake gazeti la mwananchi. Japo siku hizi najiona niko bize na maisha kiasi cha kukosa makala zake nyingi. Ila anaelimisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada.

Kwanza hongera kwa kuleta uzi huu humu ndani pia Mkuu pole sana kwa kuwa kuna watu wanabeza kile ulicholeta pamoja na Dr Sebi.

Niwe mkweli kuwa huyu jamaa sikumjua kabla, niliwahi kumsikia mwaka jana 2019 ila nikamsoma kidogo kisha nikamuacha.

Tukija upande wa cancer naona watu wanazungumza tu ila ndio ugonjwa unaoongoza kuwa mkali kwa kumaliza watu Tanzania, kama haishiki nafasi ya kwanza basi ya pili.

Wapumbavu wanapinga hoja ya vyakula ila wamtafute oncologist(Daktari Bingwa wa Kansa) yeyote yule aulizwe njia ya kuepuka kansa ni ipi? Majibu ya mwanzoni yatakuwa ni haya ...

1. Kula matunda mara kwa mara
2. Kula mboga za majani

Ninachoweza kusema na kuamini ni kuwa Mungu ametupa matibabu hapa hapa chini ya ardhi, mwanadamu ameumbwa kwa udongo, nadhani hata matibabu yake yanatoka hapo kwa sehemu kubwa.

Hii kansa ni moja ya biashara kubwa saana kulimwenguni, japo huwezi kuifananisha na AIDS.

Kuhusu cancer tu wanakataa baadhi ya facts, ukija kuwaletea biashara ya HIV si watakuona kichaa.

Uhalisia wa mambo tunayofahamu ni tofauti na uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa unasumbuliwa na tezi dume hasa ikiwa katika hatua za mwanzo tumia tangawizi iliyowekwa maji ya limau na uinywe katika maji ya vugu vugu kila siku asubuhi glasi moja utaona mabadiliko ya haraka sana au tafuna mbegu ya maboga yaliyokauka na kukaangwa kila siku kwa muda wa wiki mbili utaona tofauti kubwa. Hii ni mojawapo ya kansa inayotutesa sisi Wazee.
 
Well said! What else can I do? I just nodd & clap my hands. Umeandika fact!

Kuna mijitu mingi hayafikirii nje ya yale wanayoelezwa na kuimbiwa kila siku. Kansa nasema na nitakiambia kizazi changu kuwa inaepukika kwa asilimia 100 kama tu utakua na utayari madhubuti wa kujifunza kwa kubadilisha mindset na kubadilisha mfumo mzima wa maisha.
 
Ni raia wa Honduras alifariki akiwa na umri wa miaka 82 august 16 2016 kwa ugonjwa wa (pneumonia)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafahamu kuwa matango yale ya salad (cucumber) pia ni mazuri kwa tezi dume. Kula angalau 1 kila siku.
 
Huyu mzee nilikuwa nasoma makala zake gazeti la mwananchi. Japo siku hizi najiona niko bize na maisha kiasi cha kukosa makala zake nyingi. Ila anaelimisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata miye namfatilia huyu jamaa makala yake inaitwa Barua toka London km sijakosea
 
Mi nilidhani hajafa kisa hajala sumu, nyie watu emu acheni ujinga hivi aliyeumba chakula hakuwa na uelewa kuliko huyo mzushi? Kifo kipo tu kimeshawekwa basi kila nafsi itaonja, kwani nisipokufa kwa kansa ndio itakuwa sifi tena? Tusichoshane
Mkuu, sio lazima kila mtu ajue wewe ni mjinga kiasi gani.
 
Rais Kikwete alienda onana nae na mahojiano yake ya mwisho aliplan kuja Tanzania lakini kifo kikamtangulia.
Inasemekana lakini mkwere alitibiwa kwake....tetesi
Ndio akampa offer akuje TZ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Kikwete alienda onana nae na mahojiano yake ya mwisho aliplan kuja Tanzania lakini kifo kikamtangulia.
Inasemekana lakini mkwere alitibiwa kwake....tetesi
Ndio akampa offer akuje TZ

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliipenda sana Tanzania, hata katika mafundisho yake siku moja alisema “kaka zangu Wamasai kule Tanzania hawatanielewa nikisema nyama nyekundu ni sumu inayoua taratibu.”.
 
Kuna video za Dr Sebi alisema starch + protein ni sumu kubwa mwilini. Hivyo ukipikiwa wali wa nazi na nyama ya ng'ombe au ugali nyama choma ni kaburi hilo.
Sasa tuleje dada yangu itabidi watu wote watuweke bording wawe wanatupikia
 
Kanuni rahisi umri kuanzia 35.....Acha 1. kabisa sukari na vinywaji vyenye sukari.2. Punguza epuka wanga 3. Achana na bia tumia gin ama whisk. 4. Fanya mazoezi. 5. Warm water walau glass 2 asubuhi kabla mlo. 6. Punguza ama epuka nyama nyekundu
Kansa, sukari, BP utasikia kwa wenzio, unless una hiv, ama upungufu wa kinga wa asili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliipenda sana Tanzania, hata katika mafundisho yake siku moja alisema “kaka zangu Wamasai kule Tanzania hawatanielewa nikisema nyama nyekundu ni sumu inayoua taratibu.”.

Habari za Dr Sebi kwa Mara ya kwanza nilozipata kwa Dr Omega yule mzee mjamaica alieamua kuwa mtanzania. Namheshimu sana huyu mzee ana mengi ya kujifunza.hazeeki licha ya umri wake mkubwa.anayatawala mazingira ya asili.
Kuwa vegan kuna faida sana ni vile tumejizoesha namna ya kuishi tunaona tabu kuishi namna nyingine.
 
Kwa nini alikufa?Hawa wanaokula wali Nyama mbona wanaishi miaka mia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wavutaji wa sigara wanaishi miaka 100 bila cancer wala COPD hii haifanyi sigara kutokuwa na madhara.

Dr Sebi alikufa akiwa mahabusu kwao Honduras. Alikamatwa ná immigration officer akiwa na US$ 30,000 cash walidai haja zo declare .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…