Mbona Kawaida mkuu....Ugali na parachichi nikiwa mbeya
kama vile tulikua pamja mtaa huuUgali na vichwa vya dagaa vya kuchemsha.
Tatizo kubwa unabeti hata kidogo ulichopataKATIKA MIDA HILE YA KUTAFUTA , INAFIKIA HATUA UNAKULA ILI UISHI YAANI UNAKULA CHOCHOTE ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, MIMI NSHAKULA UGALI NA CHUMVI................MIXER MAJI YA KUNYWA................................
WEWE JE ?
Na Leo uko jf, wewe ilikuwa unaigizaKuna muda nili kula maganda ya ndizi yaliyo tupwa
Nimeshawahi kula Ugali kwa harufu ya soksi.KATIKA MIDA HILE YA KUTAFUTA , INAFIKIA HATUA UNAKULA ILI UISHI YAANI UNAKULA CHOCHOTE ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, MIMI NSHAKULA UGALI NA CHUMVI................MIXER MAJI YA KUNYWA................................
WEWE JE ?