Vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa

Vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa

Mia kabisa mleta uzi.
Kwa sasa vyakula vingi havina harufu wala ladha mdomoni.
Mimi kipindi nakua nilikuwa mpenzi sana wa viazi mbatata vya kuchemsha na nilichokuwa napenda ni ile ladha yake pamoja na unga unga fulani hivi(sio amaizingi!)...Kwa sasa nimeacha huo mlo,viazi havina ladha na havina ule unga unga baada ya kuchemshwa.Kwa sasa ukichemsha kiazi kinakuwa kama kimelowekwa,kikwetu tunaita "vichelema".
Mbatata kwa roast ya nyama ilikuwa habari kubwa ,ila sikuhizi hamna kitu hata ndondo la nazii linakosa ladha siku hizi unatafuna karoto hamna kitu!mapapai embe dodo mastafeli mayai kuku shida tupu
 
Siku izi kila kitu kinakuzwa kwa kemikali mambo ya mbolea hayo ndio sababu kubwa ya kupungua kwa harufu ya vyakula. Nimechunguza hata kunde na maharage hayatoiwi harufu kabisa kama zamani.
 
Vyakula vingi vya dar havina ladha ila ukiwa mkoani vikapikwa fresh vina taste aisee. Pia sikuhizi kuna michakachuo ya misosi. Wali uwe mtamu upikwe na mkaa.
Haswaa
. Vinawekwa wekwa madawa mno
. Vinahifadhiwa kwenye friji, mabarafu ladha inaisha tofauti na zile njia za asili asili nyama inabanikwa au inakaushwa kwa chumvi

Afu pia kupikia kwenye gas napo kunapunguza utamu wa chakula, kitu cha kuni bana yani wali uliopikwa kwa kuni hata uwe mbaya lazma una ladha nzuri, sahivi Mara vi gas, mara vi rice cooker,sijui pressure cooker
 
KUNA WATU WANAITWA MONSTER SANTO (MONSANTO) HAWA WATU WEKA MBALI NA WATOTO, HAWA NI MAJASIS WA MBEGU ZA MAUAJI KIPITIA MBEGU NA MAZAO, VYAKULA VYA GENETICALLY MODIFIED ORGANISM (GMO) WEKA MBALI NA WATOTO
 
KUNA WATU WANAITWA MONSTER SANTO (MONSANTO) HAWA WATU WEKA MBALI NA WATOTO, HAWA NI MAJASUS WA MBEGU ZA MAUAJI KIPITIA MBEGU NA MAZAO, VYAKULA VYA GENETICALLY MODIFIED ORGANISM (GMO) WEKA MBALI NA WATOTO.
 
Sema la ukweli nimezunguka maeneo mengi sio kama nafagilia sijawahi oma mikate mitamu kama mikate fulani hivi inatengenezwa Arusha kweli huishi kuila kuna mingine ya njano uupate wa moto moto na ile meupe weka mbali na watoto hii huku najionea ipo ipo tu

Mkate Wa SUNKIST huo. Yani ukila mpaka unasikia raha. Sio kama ya huku Dar ukila leo na kesho, kesho kutwa huna hamu ushakinai!!!!
 
Wakuu najua mko poa,
Yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile.

Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????
Zamani wali ukipikwa tunaoga mapema na kuimba siku hizi tumeuzoea ndio tofauti
 
Wakuu najua mko poa,
Yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile.

Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????
Zamani wali ukipikwa tunaoga mapema tunaimba hatu sinzii siku hizi tumeuzoea
 
Ndomana nmeamua kula mdudu tu
Jisevie binamu...

upload_2017-6-12_18-31-26.jpeg
 
. Vinawekwa wekwa madawa mno
. Vinahifadhiwa kwenye friji, mabarafu ladha inaisha tofauti na zile njia za asili asili nyama inabanikwa au inakaushwa kwa chumvi

Afu pia kupikia kwenye gas napo kunapunguza utamu wa chakula, kitu cha kuni bana yani wali uliopikwa kwa kuni hata uwe mbaya lazma una ladha nzuri, sahivi Mara vi gas, mara vi rice cooker,sijui pressure cooker
images
 
kweli mkuu zamani hata ugali wa dona ulikuwa unanukia sana tu siku hakuna kitu zimebaki dagaa za kukaanga tu
 
Pua zako zitakuwa zimekufa mkuu!

Wala sio pua ni kweli vyakula vimepoteza harufu pia na ladha hususan wali
HII INATOKANA NA MAPISHI YA SASA NI TAFAUT NA YA ZAMANI
Leo wali ukipikwa badala ya kufunikiwa ati unavalishwa mfuko wa nailoni kwa juu hapo ndio wanafunikia unaiva kwa mvuke wajoto la nailoni saa ngapi utanukia???
MAPISHI YA ENZI ZILE WALI UKIKARIBIA KUIVA UNAONA MOTO UNAPUNGUZWA NA KUFUNIKIWA MKAA JUU NA MKAA CHINI HAPO SASA UKIPAKUA UNAKUTA UKOKO WA JUU NA UKOKO WA CHINI HARUFU YAKE WAKATI UNAUPAKUA KTK SINIA HADI MTAA WA NNE[emoji3]
 
Sahivi hadi nazi hazinukii sijui ndo nazi za kichina zimekomaa miezi 6
 
Wakuu najua mko poa,
Yaani vyakula vya siku hizi havina harufu kabisa. Miaka ya nyuma kipikwe kitu cha wali hadi mtaa wa 7 utakisikia tu, lakini sasa hivi hata kipikwe hapo hutosikia harufu yake na hata mdomoni hauna ladha kivile.

Wajameni kulikoni harufu na ladha ya vyakula haipo siku hizi ????


Wacha uwongo teja wewe. Vyakula vyetu vina harufu murua tu sema wewe pua yako na mapafu yameungua kutokana na kutumia madawa ya kulevya.
 
Kweli kabisa vyakula siku hizi vimekosa ladha na harufu ya kutamanisha ukilinganisha na kipindi cha nyuma labda ni sababu ya maendeleo ya sayansi na teknologia kwenye kilimo vyakula vingi nowadays vinazalishwa kutumia kemikali nyingi hivyo kupelekea kupotezz uhalisia wake , mf rahisi kwangu ni Pilipili kwa wale wenzangu wapenda pilipili siku hizi pilipili mbuzi hazina harufu na ukali kama miaka ya nyuma huwezi amini unaweza mpa hata mtoto akaila bila wasi, hili la kemikali limeenda mbali mpk kwenye mifugo unategemea nn kuku anayefugwa kwa wiki 3 then analiwa akawa na harufu na ladha nzuri?
Sababu ya mwisho ni mazoea ya kula chakula fulani mara kwa mara inatufanya tukinai na tusiwe na attention nacho kikipikwa nakumbuka miaka ya 80's kitu Pilau ilikuwa si mchezo ikipikwa jua ni sikukuu au msiba, nyama ya ng'ombe ilipikwa wikiendi kuku anachinjwa mpk kuwe na mgeni hii ilipelekea kuongeza hamu ya hv vyakula siku hz pilau lapikwa muda wowote!
 
Mchele unaouzwa madukani huwa unakaa muda mrefu sana hivyo hupauka. ili kuutunza na kuhifadhi mngáo wake wafanyabiashara wanaupaka mafuta ya kula. mchele hata wa mwaka mmoja utauona kama mpya ila harufu ndo hutaisikia ngóoo
 
Back
Top Bottom