Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Watamshitaki kwa msajili.Kwa mfano asipoomba huo msamaha vitamfanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamshitaki kwa msajili.Kwa mfano asipoomba huo msamaha vitamfanya nini?
🤣🤣🤣 inachekesha, yaani chinese kwa lugha ya kitaani.vyama vingine ni vyama bandia.
Akivisema kura zinaongezeka?Mbowe kazia hapo hapo maana haya manafiki yakuelewi vizuri
Subiri October 28 chadema mkose wabunge na madiwani halafu uje na huo ushauri vyama vipi vibakieKuna haja kama sio sisi wenyewe mabeberu watusaidie kuwe na masharti magumu hivi vyama vipungue, walau tuwe na vyama 3 hadi 4 tu vya siasa.
Freeman Mbowe asiwaombe msamaha hawa vyama 18. Bali na wao kwa umoja wao waidhalilishe CHADEMA kuwa ni kibaraka wa CCM.Vyama 18 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia..
Hivi ni vyama vya kuidanganya dunia kuwa Tanzania inafuata siasa za vyama vingi ....vinalipwa kila kitu ...vyama vya uchaguzi ...ifike mahali chama kama hakina hata mtendaji wa mtaaa kishushwe usajili wake uwe wa mudaVyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia...
Hivyo vyama vinafadhiliwa na CCM.Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia..
Je, Mahera ataonywa lini?Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia...
Usilolijua tu hata Chadema nacho kilikua chama kidogo Sana,back on 2000-2005,Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia.
Vyama hivyo vimesema Mbowe amevidhalilisha na amevunja sheria na huku vyama hivi vimesajiliwa kama kilivyosajiliwa CHADEMA.
Wamekitaka CHADEMA wajitoe kwenye uchaguzi kwani wamekata pumzi na watabaki vyama 14 vyenye wagombea machachari akiwemo Mwanamama Queen.
My take: Hivi kweli hivi vyama vidogo vina strategies yoyote katika kukuza vyama vyao au ni wasindikizaji wa siasa hapa Tanzania hasa kwenye uchaguzi?
Alichokisema Mh.Mbowe IS A DEEP PAINFUL TRUTH kwa fraudulent political parties ambayo ni matawi ya ccm.If they feel aggrieved, let them file a suit against Mbowe. Wao wanajua kwamba ni vibaraka wa CCM ila hawataki mtu aseme hilo jambo.
Waende MahakamaniVyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia.
Vyama hivyo vimesema Mbowe amevidhalilisha na amevunja sheria na huku vyama hivi vimesajiliwa kama kilivyosajiliwa CHADEMA.
Wamekitaka CHADEMA wajitoe kwenye uchaguzi kwani wamekata pumzi na watabaki vyama 14 vyenye wagombea machachari akiwemo Mwanamama Queen.
My take: Hivi kweli hivi vyama vidogo vina strategies yoyote katika kukuza vyama vyao au ni wasindikizaji wa siasa hapa Tanzania hasa kwenye uchaguzi?
Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia.
Vyama hivyo vimesema Mbowe amevidhalilisha na amevunja sheria na huku vyama hivi vimesajiliwa kama kilivyosajiliwa CHADEMA.
Wamekitaka CHADEMA wajitoe kwenye uchaguzi kwani wamekata pumzi na watabaki vyama 14 vyenye wagombea machachari akiwemo Mwanamama Queen.
My take: Hivi kweli hivi vyama vidogo vina strategies yoyote katika kukuza vyama vyao au ni wasindikizaji wa siasa hapa Tanzania hasa kwenye uchaguzi?
Chama kama ADC kina nguvu kuliko Chadema Zanzibar uchaguzi uliopita kilitoa waziri wa serika Zanzibar Hamad Rashid Mohammed wakati chadema hakikuambulia hata mbunge wala mwakilishi wa baraza LA wawakilishi ZanzibarChama kimeanzishwa zaidi ya miaka 10 nyuma hakijawahi hata kupata diwani halafu useme hicho ni chama cha siasa.
Tusioneane aibu ktk kusema ukweli. Ni mfano wa vyama mfu.