Uchaguzi 2020 Vyama 8 vinavyoshiriki Uchaguzi vyamtaka Mbowe ajieleze kwa Msajili baada ya kuviita ni vyama bandia

Uchaguzi 2020 Vyama 8 vinavyoshiriki Uchaguzi vyamtaka Mbowe ajieleze kwa Msajili baada ya kuviita ni vyama bandia

Yaani Hawa wanatia kichefuchefu Bora wanyamaze. Ningekuwa na uwezo ningewashawatandika bakora, lakini tuwasamehe hawajui walitendalo
 
Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia.

Vyama hivyo vimesema Mbowe amevidhalilisha na amevunja sheria na huku vyama hivi vimesajiliwa kama kilivyosajiliwa CHADEMA...
Wasitupigie kelele hao ni vibaraka wa CCM
 
Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia...
Hivi vyama ata viongozi hawajulikan vinajitokeza kipind cha uchaguz na vya kimagumashi tu
 
Ni vigezo gani kwanza wanaangalia kwenye usajili wa hii vyama ,chama kama cha cheyo kipo karibia miaka 20 hakina hata diwani wala mjumbe wa mtaa . Kazi kulamba miguu ya CCM, hata wasilalamike ,hiyo kulalamika ndo ubandia wenyewe
 
Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia...
Yawezekana mkawa na uhalali wa kisheria lakini bado mkawa bandia! Kwa miaka zaidi ya 25 bado hamjapata mbunge hata mmoja wala madiwani mnapata wapi uhalali wa kisiasa kama siyo kutumika tu!
 
Vyama 8 vimemtaka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia...
Vingine mamluki,uongo?au mpaka tuvitaje kwa majina,wenyewe wanajifahamu.
 
..hivi vyama vinatafuta ligi tu na chadema.

..sasa mbowe asivipe fursa hiyo.

..namshauri aviombe msamaha vyama hivyo.

..vyama vyenyewe vimeshakosa ushawishi.
 
Subiri October 28 chadema mkose wabunge na madiwani halafu uje na huo ushauri vyama vipi vibakie

Hakuna uwezekano wa cdm kukosa viti vya udiwani na ubunge Kwa sasa ndani ya nchi hii Kwa kura, labda kama ccm mfanye ushenzi kama ule wa uchaguzi wa SM.
 
Vyama 8 vimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia....
Hovyo ni vijiwe vya kupanga mikakati yakukutana na wala nchi
 
sisi ni Ufipa tumeona tunachemka mwaka huu ndio tunatumia mbinu hio ya kusema tunashindwa
 
Na mimi mwenye majona tajwa hapo juu nasema: Tanzania tuna Chadema na CCM tu!
Licha ya ACT kuja kasi na kuwa na muelekeo chanya, nina mashaka malengo ya uanzishwaji wake.


Kama vipi waniite na mimi nikatoe maelezo, halafu tuwe live dunia inisikie nitakachosema.
 
Asipoomba radhi ni dhahiri CHADEMA viongozi wake waishi kwa jina la chama. Haihitaji elimu ya siasa kutabiri athari ya kauli hiyo wakati huu wa uchaguzi.

Kwamba hata wagombea wa chama badala ya kunadi Sera wanawashambulia kwa kuwadharilisha wagombea wa vyama vya siasa. Hili likuwa halali wakati wa mfumo wa chama kimoja (Sera, Itikadi na Imani na ya chama kimoja). Katika mfumo huo mshindi ni yule aliyeweza kujisifia na kumponda mwenzake.

Kwenye mfumo wa vyama vingi, pamoja na sifa za mgombea, nguvu ya chama chake (kwa maana ya Sera) ndiyo huvutia wapiga kura.

Hivyo basi, CHADEMA, inajiondoa yenyewe kwenye kuaminiwa na wapiga kura.

MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA
Umetoa elimu kubwa na nzuri sana ila sasa unaowapa elimu hawaelimiki
 
Hayo mavyama mfu, vibaraka wa CCM

Wachumia tumbo

Mavyama hayakemei Serikali kwa kupora haki za wafanyakazi... wakulima

FAO la kujitoa

Kwendeni huko, mtamfanya Nini mwamba
Kama ilivyo Chadema ni vibaraka wa mabeberu makina Robert Amsterdam na genge lake!
 
Na mimi mwenye majona tajwa hapo juu nasema: Tanzania tuna Chadema na CCM tu!
Licha ya ACT kuja kasi na kuwa na muelekeo chanya, nina mashaka malengo ya uanzishwaji wake.


Kama vipi waniite na mimi nikatoe maelezo, halafu tuwe live dunia inisikie nitakachosema.
Kumbuka Chadema imekuwa chama kikuu cha upinzani 2015 tu kabla kulikuwa na NCCR baadae CUF. Hivyo usishangae kuna siku inawezekana ikatokea chama kingine kikawa chama kikubwa cha upinzani.
 
Mbowe hakuviita hivyo kwenye campeni alikuwa kwenye mkutano wa ndani kwa hiyo waende kortini wakitaka!
 
Back
Top Bottom