Vyama katika demokrasia imara kote duniani haviweki ukomo wa uongozi, CHADEMA haijakosea katika hili.

Vyama katika demokrasia imara kote duniani haviweki ukomo wa uongozi, CHADEMA haijakosea katika hili.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Zambia, Hakainde Hichilema amekuwa Rais wa chama cha UPND kwa miaka 18

Kenya, Raila Odinga amekuwa Kiongozi mkuu wa ODM kwa miaka 20, ameachia uongozi kugombea nafasi ya uongozi AU. Uhuru Kenyata bado ni Kiongozi mkuu wa chama cha Jubilee tangu mwaka 2016.

Zimbabwe, Morgan Tsvangirai alikuwa Kiongozi wa MDC-/T kwa miaka 20

Africa Kusini,Julius Malema amekuwa kiongozi wa Economic Freedom Fighter(EEF) kwa miaka 11, tangu kianzishwe.

Uingereza, Clement Attlee wa Labour Party alidumu katika uongozi kwa miaka 20.

Marekani, Mitch McConnell amekuwa kiongozi wa chama cha Republican kwa miaka 17

Israel, Benjamini Netanyahu amekuwa kiongozi wa chama cha Likud kwa miaka 23 na bado anaendelea.

CHADEMA hawapaswi kusumbuliwa kwa suala la kuwa na ukomo wa uongozi ndani ya chama.
 
Zambia, Hakainde Hichilema amekuwa Rais wa chama cha UPND kwa miaka 18

Kenya, Raila Odinga amekuwa Kiongozi mkuu wa ODM kwa miaka 20, ameachia uongozi kugombea nafasi ya uongozi AU. Uhuru Kenyata bado ni Kiongozi mkuu wa chama cha Jubilee tangu mwaka 2016.

Zimbabwe, Morgan Tsvangirai alikuwa Kiongozi wa MDC-/T kwa miaka 20

Africa Kusini,Julius Malema amekuwa kiongozi wa Economic Freedom Fighter(EEF) kwa miaka 11, tangu kianzishwe.

Uingereza, Clement Attlee wa Labour Party alidumu katika uongozi kwa miaka 20.

Marekani, Mitch McConnell amekuwa kiongozi wa chama cha Republican kwa miaka 17

Uingereza, Benjamini Netanyahu amekuwa kiongozi wa chama cha Likud kwa miaka 23 na bado anaendelea.

CHADEMA hawapaswi kusumbuliwa kwa suala la kuwa na ukomo wa uongozi ndani ya chama.
Hata nchi iongozwe na chama kimoja kisiwe na ukomo
 
Mbowe aondoke.
Anatembelea damu za watu, wapigania maslahi ya taifa wa kweli, akina Mawazo nk, wamemwaga damu wakikipagania chama na mabadiliko ya kweli, lakini Mbowe anajineemeaha kwa kuwadanganya wachache kuwa mfadhili wa chama kumbe rizuku ikija anajichotea tu.
Huku anakula ccm mchana yuko chadema, hatudanganyiki tena
 
Hata nchi iongozwe na chama kimoja kisiwe na ukomo
Kasoro Zimbabwe, nchi nyingine zote nilizokutajia zinaongozwa kwa mfumo imara wa vyama vingi na demokrasia ya kweli.
 
Kasoro Zimbabwe, nchi nyingine zote nilizokutajia zinaongozwa kwa mfumo imara wa vyama vingi na demokrasia ya kweli.
Kama kiongozi anataka kufia kwenye cheo chochote Cha kisiasa basi hukuna demokrasia ya kweli bali bandia hata hivyo kati ya hao wote mbowe ndo kakaa mda mrefu
 
Back
Top Bottom