Pre GE2025 Vyama mamluki matawi ya CCM

Pre GE2025 Vyama mamluki matawi ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umeisahau Chadema, Mbowe alikamatwa enzi ya jiwe tu tangu vyama vingi vianze, na baadae SSH, Mtei hajawahi kukamatwa na Polisi, jiulize kwa nini. Baada ya kufunua veil kwa boss, Mbowe akaachiwa, na akafikia Ikulu. Lissu naye ni preoject

Hata mabosi hawawajuagi watu wanaokaa chini ya kava la kitabu, boss anakuwa anaona mapicha picha tu. Na wanaomuonyesha mapichapicha ni vijana wake, na yeye baadhi hawajui. Hata mzee mwinyi alionyeshwa mapicha picha na mrema na marando,mpaka mrema akaamua kujisema mwenyewe kazi yake, wakati ambao hana madhara.

Imagine,kwa muda wote kaandamanisha wangapi na wangapi wamekula risasi na rungu zenye uzito wa uzani wa juu.

Si unajua jamaa wana njia nyingi za kugikisha ujumbe, hata juzi Lissu alivyojitapa kuwajua wachungaji wanaoagiza sukari, ni wale wale wa kijitonyama wanamtumia kijna wao kutoa maneno. Yaani Lissu ni spika tu ya kutolea sauti
Kama umemaliza kahawa toka hapo kijiweni, unapoelekea utaanza kuchambua matukio ya Baba na Mama yako.
 
Ni hivi hapa

ADA TADEA,
CCK
, NLD,
Demokrasia Makini,
NCCR- MAGEUZI,
TLP,
UPDP,
SAU
, UMD,
NRA
na Chama cha DP.
eti hiki ndio kinajipambanua kwamba ni chama cha siasa kikubwa kinacho panga kushinda uchaguzi:pedroP: :pedroP:

yaani kinababaishawa na kupanikishwa na mipango ya vyama vingine?:pedroP:
 
Mbowe ni mtu wa serikali, endeleeni kuzunguka.
Serikali hii hii ambayo iliamua kumzushia kesi mbaya ya ugaidi yenye tuhuma za kutaka kuziba barabara kwa kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya enzi za Jiwe mwanasisiyemu mwenzao alikaa ndani kwa zaidi ya miezi nane!
 
Lissu ni speaker tu kufika ujumbe hawezi kufikiri mwenyewe
 
Umeisahau Chadema, Mbowe alikamatwa enzi ya jiwe tu tangu vyama vingi vianze, na baadae SSH, Mtei hajawahi kukamatwa na Polisi, jiulize kwa nini. Baada ya kufunua veil kwa boss, Mbowe akaachiwa, na akafikia Ikulu. Lissu naye ni project

Hata mabosi hawawajuagi watu wanaokaa chini ya kava la kitabu, boss anakuwa anaona mapicha picha tu. Na wanaomuonyesha mapichapicha ni vijana wake, na yeye baadhi hawajui. Hata mzee mwinyi alionyeshwa mapicha picha na mrema na marando,mpaka mrema akaamua kujisema mwenyewe kazi yake, wakati ambao hana madhara.

Imagine,kwa muda wote kaandamanisha wangapi na wangapi wamekula risasi na rungu zenye uzito wa uzani wa juu.

Si unajua jamaa wana njia nyingi za kufikisha ujumbe, hata juzi Lissu alivyojitapa kuwajua wachungaji wanaoagiza sukari, ni wale wale wa kijitonyama wanamtumia kijna wao Lissu kutoa maneno. Yaani Lissu ni spika tu ya kutolea sauti
Hata hueleweki umeandika utoto gani.
 
Umeisahau Chadema, Mbowe alikamatwa enzi ya jiwe tu tangu vyama vingi vianze, na baadae SSH, Mtei hajawahi kukamatwa na Polisi, jiulize kwa nini. Baada ya kufunua veil kwa boss, Mbowe akaachiwa, na akafikia Ikulu. Lissu naye ni project

Hata mabosi hawawajuagi watu wanaokaa chini ya kava la kitabu, boss anakuwa anaona mapicha picha tu. Na wanaomuonyesha mapichapicha ni vijana wake, na yeye baadhi hawajui. Hata mzee mwinyi alionyeshwa mapicha picha na mrema na marando,mpaka mrema akaamua kujisema mwenyewe kazi yake, wakati ambao hana madhara.

Imagine,kwa muda wote kaandamanisha wangapi na wangapi wamekula risasi na rungu zenye uzito wa uzani wa juu.

Si unajua jamaa wana njia nyingi za kufikisha ujumbe, hata juzi Lissu alivyojitapa kuwajua wachungaji wanaoagiza sukari, ni wale wale wa kijitonyama wanamtumia kijna wao Lissu kutoa maneno. Yaani Lissu ni spika tu ya kutolea sauti
WEWE Kama ni mwanamke mumeo ana shoti ya milele kama ndio Mimi mumeo nagomea unyumba MPAKA uondoke kwangu kibwengo WEWE.
 
Serikali hii hii ambayo iliamua kumzushia kesi mbaya ya ugaidi yenye tuhuma za kutaka kuziba barabara kwa kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya enzi za Jiwe mwanasisiyemu mwenzao alikaa ndani kwa zaidi ya miezi nane!
Changa la macho tu hilo, alipoachiwa breki ya kwanza Ikulu..... kazi yake anaifanya vema.
 
WEWE Kama ni mwanamke mumeo ana shoti ya milele kama ndio Mimi mumeo nagomea unyumba MPAKA uondoke kwangu kibwengo WEWE.
Mimi mwanaume, ila ulivyoandika hapa, umeandika kama wa kike, sogea, nimeshaupasha
 
Umeisahau Chadema, Mbowe alikamatwa enzi ya jiwe tu tangu vyama vingi vianze, na baadae SSH, Mtei hajawahi kukamatwa na Polisi, jiulize kwa nini. Baada ya kufunua veil kwa boss, Mbowe akaachiwa, na akafikia Ikulu. Lissu naye ni project

Hata mabosi hawawajuagi watu wanaokaa chini ya kava la kitabu, boss anakuwa anaona mapicha picha tu. Na wanaomuonyesha mapichapicha ni vijana wake, na yeye baadhi hawajui. Hata mzee mwinyi alionyeshwa mapicha picha na mrema na marando,mpaka mrema akaamua kujisema mwenyewe kazi yake, wakati ambao hana madhara.

Imagine,kwa muda wote kaandamanisha wangapi na wangapi wamekula risasi na rungu zenye uzito wa uzani wa juu.

Si unajua jamaa wana njia nyingi za kufikisha ujumbe, hata juzi Lissu alivyojitapa kuwajua wachungaji wanaoagiza sukari, ni wale wale wa kijitonyama wanamtumia kijna wao Lissu kutoa maneno. Yaani Lissu ni spika tu ya kutolea sauti
Ya Mrema na Marando upo sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom