Vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wawashauri waliokuwa wagombea waandike barua ya kujitoa rasmi

Vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wawashauri waliokuwa wagombea waandike barua ya kujitoa rasmi

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Hivi punde kuna taarifa ya Waziri wa TAMISEMI ikisema baada ya rufaa wagombea wote waliokuwa wamekata rufaa watarudishwa kwenye kinyang'anyiro.
Na ninavyofahamu mimi mgombea ndiye mwenye haki ya kujitoa kwenye uchaguzi.

Kuna uwezekano majina yote hata ya wale ambao hawakukata rufaa yakarudishwa. Lengo ni kuutangazia ulimwengu kuwa wapinzani wana sababu nyingine nje ya hizo walizozitaja.

Ili kukomesha hilo wapinzani wawaelekeze wagombea wao wote nchi nzima kuandika barua kwa wasimamizi wa uchaguzi kuwataarifu kuwa wameamua kujiondoa rasmi. Vinginevyo wataendelea kutambulika kama wagombea halali na serikali itautumia mwanya huo kujitangaza kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki kwa kila chama.

Nawasilisha.

Updates
Screenshot_2019-11-09-13-46-06.png



Updates
Screenshot_2019-11-09-20-55-48.png
 
Mgombea ambaye hakupitishwa, amekatwa jina lake anaandikaje barua ya kujitoa? Kujitoa wapi? Kwenye nini? Ujanja mwingi mbele giza ccm safari watakiona cha moto na bado. Huyo Jafo anapitisha na kubandika majina gani? Ya walioenguliwa wasio na sifa? Mara ghafla wamekuwa na sifa.
 
Kwa maigizo ya serikali inayoongozwa na CCM sitashangaa kusikia kuwa kila atayeandika barua ya kujitoa atafikishiwa rumande kwa tuhuma za uchochezi. Na pengine wakashindwa kuwasilisha barua zao kwani wasimamizi wanaweza kutumia mbinu ile ile ya kuzikimbia ofisi zao kama ilivyokuwa kwenye kutoa fomu.
 
Mgombea ambaye hakupitishwa, amekatwa jina lake anaandikaje barua ya kujitoa? Kujitoa wapi? Kwenye nini? Ujanja mwingi mbele giza ccm safari watakiona cha moto na bado. Huyo Jafo anapitisha na kubandika majina gani? Ya walioenguliwa wasio na sifa? Mara ghafla wamekuwa na sifa.
Kwa ccm ya Meko kila kitu kinawezekana. Muda utaongea
 
Mgombea ambaye hakupitishwa, amekatwa jina lake anaandikaje barua ya kujitoa? Kujitoa wapi? Kwenye nini? Ujanja mwingi mbele giza ccm safari watakiona cha moto na bado. Huyo Jafo anapitisha na kubandika majina gani? Ya walioenguliwa wasio na sifa? Mara ghafla wamekuwa na sifa.
Ni swali la msingi kwa Jafo na genge lake ...
 
Kwa maigizo ya serikali inayoongozwa na CCM sitashangaa kusikia kuwa kila atayeandika barua ya kujitoa atafikishiwa rumande kwa tuhuma za uchochezi. Na pengine wakashindwa kuwasilisha barua zao kwani wasimamizi wanaweza kutumia mbinu ile ile ya kuzikimbia ofisi zao kama ilivyokuwa kwenye kutoa fomu.

Hata uchaguzi ukifanyika bado wapiga kura watakuwa wachache kupita maelezo. Ni dhahiri wananchi wameshapuuza huo ushenzi wote.
 
Nadhani kwa 90% hesabu za ccm zimefeli.
 
Mgombea ambaye hakupitishwa, amekatwa jina lake anaandikaje barua ya kujitoa? Kujitoa wapi? Kwenye nini? Ujanja mwingi mbele giza ccm safari watakiona cha moto na bado. Huyo Jafo anapitisha na kubandika majina gani? Ya walioenguliwa wasio na sifa? Mara ghafla wamekuwa na sifa.
Kweli maajabu hayaishi
 
Hivi punde kuna taarifa ya Waziri wa TAMISEMI ikisema baada ya rufaa wagombea wote waliokuwa wamekata rufaa watarudishwa kwenye kinyang'anyiro.
Na ninavyofahamu mimi mgombea ndiye mwenye haki ya kujitoa kwenye uchaguzi.

Kuna uwezekano majina yote hata ya wale ambao hawakukata rufaa yakarudishwa. Lengo ni kuutangazia ulimwengu kuwa wapinzani wana sababu nyingine nje ya hizo walizozitaja.

Ili kukomesha hilo wapinzani wawaelekeze wagombea wao wote nchi nzima kuandika barua kwa wasimamizi wa uchaguzi kuwataarifu kuwa wameamua kujiondoa rasmi. Vinginevyo wataendelea kutambulika kama wagombea halali na serikali itautumia mwanya huo kujitangaza kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki kwa kila chama.

Nawasilisha.

Updates
View attachment 1258458

Opposition is playing chess while CCM motherfvckers are playing checkers!
 
ccm walikosa wanamkakati wa kuchakachua aiceee,,,kwa sasa maji ya shingo kila mtu anaona uhuni unaofanyika..


jaffow ameshashindwa kusimamia uchaguzi amebaki kutapatapa tu jumba bovu lisimwangukie
 
Kwa maigizo ya serikali inayoongozwa na CCM sitashangaa kusikia kuwa kila atayeandika barua ya kujitoa atafikishiwa rumande kwa tuhuma za uchochezi. Na pengine wakashindwa kuwasilisha barua zao kwani wasimamizi wanaweza kutumia mbinu ile ile ya kuzikimbia ofisi zao kama ilivyokuwa kwenye kutoa fomu.
Yametimia
 
Back
Top Bottom