Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hivi karibuni kumezuka mjadala mzito vyamani pale anapokosea mheshimiwa yoyote
Tumeona timu ya G19 ilioyoshambuliwa na kila kiongozi wa chady kwa kuingia mjengoni..
Sasa imekuwa taharuki akisimama mbunge kusema kitu. Unasikia, amemwonya, Ghafla Ameonya
Unawaza ni vyama vuwili tofauti ama Lah. Vyema kukawa na kiongozi mmoja tu kwa ajili ya kutoa tamko pale wanapoona waheshimiwa wanaenda kinyume na maadili.
Itasaidia kuongeza umoja zaidi. Hii ya akiongea huyu kule anasema hivi.. Wale wanasemaje vile inashtua kidogo
Otherwise tukutane chanjoni
J&J hse
Tumeona timu ya G19 ilioyoshambuliwa na kila kiongozi wa chady kwa kuingia mjengoni..
Sasa imekuwa taharuki akisimama mbunge kusema kitu. Unasikia, amemwonya, Ghafla Ameonya
Unawaza ni vyama vuwili tofauti ama Lah. Vyema kukawa na kiongozi mmoja tu kwa ajili ya kutoa tamko pale wanapoona waheshimiwa wanaenda kinyume na maadili.
Itasaidia kuongeza umoja zaidi. Hii ya akiongea huyu kule anasema hivi.. Wale wanasemaje vile inashtua kidogo
Otherwise tukutane chanjoni
J&J hse