Vyama vya siasa ni kitovu cha wala rushwa ?

Vyama vya siasa ni kitovu cha wala rushwa ?

Lersia

Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
6
Reaction score
6
Kwa nini viongozi wengi wa siasa lazima wawe ndio namba moja katika kula rushwa uku katiba ikiwakingia vifua tofauti kosa hilo likifanywa na mtu mwingine?
 
Kwa nini viongozi wengi wa siasa lazima wawe ndio namba moja katika kula rushwa uku katiba ikiwakingia vifua tofauti kosa hilo likifanywa na mtu mwingine?
Rushwa kubwa zaidi kuliko zote nchini Tanzania ni kitendo Cha kumpatia Kinga ya kisiasa Rais wa nchi ili asishitakiwe Mahakamani.
Hii ndio rushwa kubwa zaidi kuliko zote.
 
Sasa itabidi katiba ibadilishwe lakina ni jambo ambalo hawatalikubali mana watafunguliwa kesi nyingi sana
 
Back
Top Bottom