Utampinga anayekulisha?Mimi nachojua ACT ni chama cha upinzani lakini hawana ushamba wa kupinga kila kitu
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Lakini leo kaongea pointi sana ameonyesha ukomavu wa kisiasa
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli watu wa kigoma wamepata umeme wa uhakika na huduma zote muhimu zinapatika kwa ubora wa hali ya juu acha Rais Samia Suluhu tumpe sifa zake
Chawa hajifichi.ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Kaolewe nae maana wao hadi wanne anaruhusiwaZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Mimi nachojua ACT ni chama cha upinzani lakini hawana ushamba wa kupinga kila kitu
Kwan tatizo ilikuwa nini mpaka wakakosa umeme toka uhuruTatizo hamtaki kuambiwa ukweli watu wa kigoma wamepata umeme wa uhakika na huduma zote muhimu zinapatika kwa ubora wa hali ya juu acha Rais Samia Suluhu tumpe sifa zake
Bora umeona huu ujinga. Hili neno kila mwanaccm analitumia hadi wamekuwa wajinga, ni wapi wapinzani walipinga ujenzi wa madarasa, vituo vya afya, barabara nk? Wapinzani wanapinga upuuzi wowote unaopita mbele yao. Jambo lolote likiwa la kipuuzi lazima wapinzani wapinge ama kukosoa. Na itakuwa ujinga wapinzani kuacha kupinga uhuni, na udhaifu wowote wa serikali eti kisa wanaotaka kujifcha kwenye neno kupinga kila kitu hawatafurahi.Kupinga kila kitu ndio Nini?. Unaelewa maana ya kupinga kila kitu?. Tuache kuongea mambo yasiyokuwa na ukweli wa uhalisia.
Lakini leo kaongea pointi sana ameonyesha ukomavu wa kisiasa
Chadomo watanuna 😆😆ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
ZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Unamsifu zitto ndumila kuwili huyo,ana tabia ya kusaliti wenzake,sio mtu huyoZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Siku hz zito sio sehemu ya kujifunza upotea ndugu pole sanaZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea
Huo umeme katoa nyumbani kwake hau ni kodi yangu ninayolipa.Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli watu wa kigoma wamepata umeme wa uhakika na huduma zote muhimu zinapatika kwa ubora wa hali ya juu acha Rais Samia Suluhu tumpe sifa zake