Na hiyo ndio maana ya upinzani akizingua mseme akifanya vizuri mpongeze sasa sio ndugu zetu wale wenyewe hawajawai kuona zuriHiyo ni mipango ya serikali.je kuna mpinzani gani aliwahi kupinga mipango ya serikali?.Maana isikute unafananisha kupinga na kutoa mawazo mbadala.zito akipongeza jambo A haimaanishi hawezi kua na mawazo mbadala kwenye jambo B.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Familia gani unaongelea mkuuAt the end of the day sote tunapigania kuona Taifa letu linapiga hatua na Mtanzania anakuwa Freedom ya kujiamulia mambo kwenye familia yake
Too much Politics kuingizwa kwenye level ya familia sio poa kabisa.
Jamani tukubali mama yuko vizuri na kazi yake inaonekana tuache propagandaUtampinga anayekulisha?
Zitto tangu enzi za Kikwete aliwahi kupata kashfa ya kupewe 400ml kwenda kusoma nje.
ZZK ni ccm wa usiku mchana upinzani
Kama mimi nataka kumuoza kijana wangu wa 17 kwa msichana 16 waliopendana nae nisiingiliwe kwenye mambo ya familia yangu ni hayo tu.Familia gani unaongelea mkuu
Hapa tunaongelea
Chadema hawawezi kuelewa maana wao wanafikiri ushujaa na ukamanda Ni kupinga na kukosoa kila kitu kinachofanywa na serikali ya CCM, Ndio sababu kwa Sasa watanzania wamewashitukia na kuamua kuwapuuzaZITTO KABWE anafaa kua mfano kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa maana anajua maana halisi ya upinzania, Upinzani haina maana upinge kila kitu bali ni kupinga yasiyofaa na yanayofaa kuyaunga mkono lakini wapinzani wengine wao wanapinga kila kitu kinachokuja mbele yao.
Leo katika ziara ya Rais Samia Suluhu Kigoma Zitto kabwe amesema
“Nikiwa kiongozi wa kitaifa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza sana [Rais Samia Suluhu] kwa juhudi kubwa zinazofanyika kuwaweka Watanzania pamoja bila kujali itikadi zao, kuwepo kwangu hapa ni ishara hiyo.”
Pia neno lingine kubwa kabisa alilotuasa watanzania ni
"Hotuba nyingi zimemuomba Rais mimi nawaomba nyie, Rais wetu anadhamira njema sana na matamanio makubwa sio kwa Kigoma tu ni nchi nzima niseme tu Mama huyu hapa mpokeeni tufanye naye kazi tulete mabadiliko katika nchi"
Hii inaonyesha ukomavu wa siasa Tanzania Rais Samia Suluhu amefanikiwa kuilejesha diplomasia iliyokua imepotea