Vyama vya upinzani nchini Tanzania subirini dawa aliyonayo Kiiza Besigye katika kumtoa Rais Museveni, ili nanyi pia muiige na mumtoe Rais Magufuli

Vyama vya upinzani nchini Tanzania subirini dawa aliyonayo Kiiza Besigye katika kumtoa Rais Museveni, ili nanyi pia muiige na mumtoe Rais Magufuli

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kiongozi mkongwe wa Upinzani nchini Uganda Dkt. Kizza Besigye ametangaza kwamba atatumia mbinu tofauti kumuondoa madarakani Rais wa sasa Yoweri Museveni na sio kupitia uchaguzi kwa madai mazingira ya sasa hayawezi kuhakikisha uchaguzi ulio huru na haki.

ITV Tanzania

Mpaka Dkt. Kiiza Besigye aliyekuwa Kiongozi wa Upinzani 'Kabambe' nchini Uganda amekuja na 'Kituko' hiki, naamini 'Uchizi' umeshampata rasmi.
 
Imenikumbusha kipindi cha Yesu, Mafalisayo na Wazee wa sheria waliketi kwa kila mbinu kuzuia Injiri isihubiriliwe hawakufanikiwa, ulikuwa ni wakati wa Ufunuo mpya.

Huu ni ufunuo mpya katika siasa za kimageuzi.
 
Mali pia uchizi uliwapata, baada ya kuona Rais Ibrahim Boubacar Keita nchi anapoipeleka sio. Colonel Malick Diaw (Kanali Mdogo Afrika, ana umri wa miaka 25) akapanga kikosi kazi cha kuwaokoa raia.
 
Mali pia uchizi uliwapata, baada ya kuona Rais Ibrahim Boubacar Keita nchi anapoipeleka sio. Colonel Malick Diaw (Kanali Mdogo Afrika, ana umri wa miaka 25) akapanga kikosi kazi cha kuwaokoa raia.
Tangu lini jeshi likafanikiwa kuongoza nchi kwa mafanikio? Hiyo nchi haitakaa itulie.
 
Waulize libya maisha walioishi kabla na baada ya alivyofanya mapinduzi ya kijeshi Muammar Gaddafi, nchi ikaongozwa kijeshi. Halafu ndio urudi kuniuliza swali lako.
Muone role model wenu
Screenshot_20200821-014215~2.jpg
 
Pumba. Magufuli atoke aende wapi kwa sasa hivi magufuli na CCM hawana mbadala alafu Tanzania ni nchi tofauti sana.
 
Waulize libya maisha walioishi kabla na baada ya alivyofanya mapinduzi ya kijeshi Muammar Gaddafi, nchi ikaongozwa kijeshi. Halafu ndio urudi kuniuliza swali lako.
Unaonekana hata huna hulijualo kuhusu libya watu wanateseka. Hivi ww unalijua jeshi? Au unaonaga magwanda tu alafu unakuj kupiga tantalila zako hapa
 
Magu ni rais wa kweli, wachache n kwauchache wa akili zao ndio wanawez laumu sababu walizoe dezo. Hii nchi imebadilik mnoo na hakuta tokea mabadilik kusu magu sababu ana nia ya dhat n hii nchi, sio nyie mnao imba kwaya za wadhalim.
 
Unaonekana hata huna hulijualo kuhusu libya watu wanateseka. Hivi ww unalijua jeshi? Au unaonaga magwanda tu alafu unakuj kupiga tantalila zako hapa
Soma vizuri ulichokiandika, bila shaka hukuelewa alichokiandika.
 
Kiongozi mkongwe wa Upinzani nchini Uganda Dkt. Kizza Besigye ametangaza kwamba atatumia mbinu tofauti kumuondoa madarakani Rais wa sasa Yoweri Museveni na sio kupitia uchaguzi kwa madai mazingira ya sasa hayawezi kuhakikisha uchaguzi ulio huru na haki.

ITV Tanzania

Mpaka Dkt. Kiiza Besigye aliyekuwa Kiongozi wa Upinzani 'Kabambe' nchini Uganda amekuja na 'Kituko' hiki, naamini 'Uchizi' umeshampata rasmi.
MKE WAKE KATEYLIWA MIAKA KIBAO ANAKUL BATA USA
YE NANI AMTOE MUSEVENI.COMEDY N POLITICS
 
Back
Top Bottom