ZuzumagicNi utapeli unao fanywa na vyama vya upinzani nchini Tanzania kuwaaminisha watanzania kwamba vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani wakati vinajua kabisa havina uwezo huo.
Mtanzania kataa huo utapeli.
# Come 2025, I will "Samia" my vote . What about u?
Vyama vya upinzani havitaki kuchukua Dola,wao wanataka Ruzuku yao tu ili maisha yaendee!!Ni utapeli unao fanywa na vyama vya upinzani nchini Tanzania kuwaaminisha watanzania kwamba vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani wakati vinajua kabisa havina uwezo huo.
Mtanzania kataa huo utapeli.
# Come 2025, I will "Samia" my vote . What about u?
ErythrocyteVyama vya upinzani havitaki kuchukua Dola,wao wanataka Ruzuku yao tu ili maisha yaendee!!
Vyama vya upinzani havitaki kuchukua Dola,wao wanataka Ruzuku yao tu ili maisha yaendee!!
Pole, Mkuu...!Ni utapeli unao fanywa na vyama vya upinzani nchini Tanzania kuwaaminisha watanzania kwamba vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani wakati vinajua kabisa havina uwezo huo.
Mtanzania kataa huo utapeli.
# Come 2025, I will "Samia" my vote . What about u?
Ni utapeli unao fanywa na vyama vya upinzani nchini Tanzania kuwaaminisha watanzania kwamba vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani wakati vinajua kabisa havina uwezo huo.
Mtanzania kataa huo utapeli.
# Come 2025, I will "Samia" my vote . What
Nchi huru kila mmoja anayo haki ya kuchagua chama akipendacho je wewe ni chawa huko chadema?Chawa mpya kaanza kazi , baada ya kusikia Mwijaku kajengewa nyumba basi wengi mnajitokeza sasa !
Serikali ya CCM isingetumia nguvu ya dola kushinda uchaguzi kama vyama vya upinzani havitaki kuchukua dola? Unaikumbuka kampeni ya mwendazake ya kuiua CHADEMA?Vyama vya upinzani havitaki kuchukua Dola,wao wanataka Ruzuku yao tu ili maisha yaendee!!
Yaani afadhali na chadema hivi vingine ndio vinasubiri mda ufike vichote cha kwao.Vyama vya upinzani havitaki kuchukua Dola,wao wanataka Ruzuku yao tu ili maisha yaendee!!
Ndiyo maana nasema Ndugu Paskali Mayalla yupo sahihi. Vyama vya Siasa viondolewe ruzukuVyama vya upinzani havitaki kuchukua Dola,wao wanataka Ruzuku yao tu ili maisha yaendee!!