johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vyama vya siasa visivyo na wabunge vimeitaka serikali kuendeleza mchakato wa katiba mpya kuanzia pale ulipoishia yaani kwenye Katiba pendekezwa.
Hii itaokoa fedha na muda, wamesema!
Hii itaokoa fedha na muda, wamesema!