Vyama vya upinzani vyataka mchakato wa Katiba mpya uanzie pale ulipoishia kwenye BMK ili kuokoa fedha na muda

Vyama vya upinzani vyataka mchakato wa Katiba mpya uanzie pale ulipoishia kwenye BMK ili kuokoa fedha na muda

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Vyama vya siasa visivyo na wabunge vimeitaka serikali kuendeleza mchakato wa katiba mpya kuanzia pale ulipoishia yaani kwenye Katiba pendekezwa.

Hii itaokoa fedha na muda, wamesema!
 
Vyama vya siasa visivyo na wabunge vimeitaka serikali kuendeleza mchakato wa katiba mpya kuanzia pale ulipoishia yaani kwenye Katiba pendekezwa.

Hii itaokoa fedha na muda, wamesema!
John wewe ni mchochezi,kwanini vyama visivyo kuwa na wabunge,unakuwa kama kivumishi kielezi.
 
Akina Mrema, sasa Mrema ni "mtu" katika nyanja za kufikiri? Yule ni spent force
Vyama vya siasa visivyo na wabunge vimeitaka serikali kuendeleza mchakato wa katiba mpya kuanzia pale ulipoishia yaani kwenye Katiba pendekezwa.

Hii itaokoa fedha na muda, wamesema!
 
Tuanzie kuboresha maoni ya wananchi alipoishia Jaji Warioba, sio rasimu ya ccm Mbunge maalumu
 
Kuna vijana walikuwa chini ya miaka 18 wakati wa BMK, leo hii ni watu wazima na wana mawazo yao tusiwapuuze. Kila mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake.
 
Muunganiko wa Vyama 11, visivyo na uwakilishi katika Bunge la Tanzania umesema, havioni haja ya kuwepo shinikizo la Katiba mpya!

Kwa mujibu wa Vyama hivyo, muda sahihi ukifika, watataka mchakato uanze ilipoishia rasimu ya katiba Mpya.

Vyama hivyo Ni ; DP, NRA, NFP, Demokrasia Makini, VDP, ADC, ADA TADEA, SAU, Sauti Ya Umma, TLP na CCK

Chanzo: Habari Leo

…….................................................
 
Muunganiko wa Vyama 11, visivyo na uwakilishi katika Bunge la Tanzania umesema, havioni haja ya kuwepo shinikizo la Katiba mpya!

Kwa mujibu wa Vyama hivyo, muda sahihi ukifika, watataka mchakato uanze ilipoishia rasimu ya katiba Mpya.

Vyama hivyo Ni ; DP, NRA, NFP, Demokrasia Makini, VDP, ADC, ADA TADEA, SAU, Sauti Ya Umma, TLP na CCK

Chanzo: Habari Leo

…….................................................


Wamesema muda sahihi ni upi au lini?
 
Muunganiko wa Vyama 11, visivyo na uwakilishi katika Bunge la Tanzania umesema, havioni haja ya kuwepo shinikizo la Katiba mpya!

Kwa mujibu wa Vyama hivyo, muda sahihi ukifika, watataka mchakato uanze ilipoishia rasimu ya katiba Mpya.

Vyama hivyo Ni ; DP, NRA, NFP, Demokrasia Makini, VDP, ADC, ADA TADEA, SAU, Sauti Ya Umma, TLP na CCK

Chanzo: Habari Leo

…….................................................
Kumbe ni vile vilivyomo mfukoni wa chama kijani sio.Je niwaulize pia wanasemaje kuhusu tozo,corona,na hali ya democrasia taifani mwetu na ni yapi maoni yao kuhusu katiba mupya.?
 
Muunganiko wa Vyama 11, visivyo na uwakilishi katika Bunge la Tanzania umesema, havioni haja ya kuwepo shinikizo la Katiba mpya!

Kwa mujibu wa Vyama hivyo, muda sahihi ukifika, watataka mchakato uanze ilipoishia rasimu ya katiba Mpya.

Vyama hivyo Ni ; DP, NRA, NFP, Demokrasia Makini, VDP, ADC, ADA TADEA, SAU, Sauti Ya Umma, TLP na CCK

Chanzo: Habari Leo

…….................................................
Hivyo ni vikundi vya mchiriku vimekodiwa na magaidi wa kijadi kuja kusherehesha, wapuuzwe tu
 
Sasa kama hili dogo tu limewashinda Chadema, ku-mobilize na kupata support kutoka kwa vyama vyengine vya upinzani juu ya agenda yao ya "katiba" mpya wataweza lipi?

Kuendesha serikali?

I strongly doubt it.
 
Sasa kama hili dogo tu limewashinda Chadema, ku-mobilize na kupata support kutoka kwa vyama vyengine vya upinzani juu ya agenda yao ya "katiba" mpya wataweza lipi??

Kuendesha serikali??

I strongly doubt it.
Keep on doubting,kwa kuwa ndio furaha yako ndio furaha yenu kuwahujumu wale wanaopigania maslahi ya kweli ya mtanzania na taifa letu.
 
Chama changu cha ubwa bwa sijakiona,kwahiyo nalipuuza hilo tamko.

Hashimu Rungwe ni mwanasiasa makini huwezi kumkuta katika hili genge la wahuni.
 
Back
Top Bottom