Vyama vya upinzani vyazidi kumkubali Rais Samia, Augustine Lyatonga Mrema ajiapiza kumpigia kampeni mwaka 2025

Vyama vya upinzani vyazidi kumkubali Rais Samia, Augustine Lyatonga Mrema ajiapiza kumpigia kampeni mwaka 2025

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hakika lililoandikwa na Mwenyezi Mungu kabla mbingu hazijaumbwa haliepukiki.

Uongozi wa mama Samia umezidi "kuwakuna" watu na taasisi mbalimbali, baada ya Lissu, Mbowe, msigwa, taasisi za kimataifa, Sasa gwiji la Siasa za upinzani, Augustine Lyatonga Mrema ametoa ya moyoni, kwamba ni Samia tu ndiye ataivusha nchi mwaka 2025.

Mrema ni moja kati wa wazee wanaoheshimika na walioacha alama katika siasa za Tanzania kuliko mwanasiasa yeyote yule wa upinzani mpaka Sasa. Mara nyingi hutoa kauli baada ya kufanya uchambuzi wa kina wa masuala mbalimbali ya kisiasa.

Screenshot_20220609-072333.jpg
 
2025 atakuwepo?
Hata kama atakuwepo ni lazima atakuwa kitandani, kama sasa hivi analishwq hawezi kula mwenyewe hiyo nguvu ya majukwaani aitowe wapi?

Hivi huko TLP hakuna hata mjanja mmoja wa kumobolise wajumbe wamtowe huyu mzee aingie mtu mwenye utimamu wa akili?

Maana kwq sheria za Tanzania Mrema sasa hivi haruhusiwi kuingia mkataba wowote, maana mikataba inasainiwa ukiwa na akili timamu.
 
Mrema naye ni mwanasiasa? Limebakia jina tu.
 
Huyu ndie rais atakayeweka historia kwa kukubali kushindwa kwenye box la kura na kukabidhi madaraka kwa amani kutoka ccm kwenda CHADEMA
Unauhakika wanao mzunguka na kufaidi uwepowake watakubali???.

Wapigaji hawata ruhusu kamwe kumpoteza sababu wanajua wanacho faidi akiwa pale.

Think twice.
 
Back
Top Bottom