Vyama vyote tumuunge mkono Rais Magufuli kwa maendeleo ya Tanzania

Vyama vyote tumuunge mkono Rais Magufuli kwa maendeleo ya Tanzania

Team JPM

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2018
Posts
1,197
Reaction score
1,826
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi nchini Tanzania. Kwa uchapakazi, uzalendo, uthubutu, ujasiri na Uungwana wa mheshimiwa Rais Magufuli, wananchi wengi ndani na nje ya bara la Afrika wanatamani sana angekuwa Rais wa nchi zao.

Kama taifa, ushahidi upo wazi katika kasi ya miundo mbinu ya maendeleo iliyojengwa 2015-2020.
Kwa muhula wa pili, 2020-2025 itakuwa ni kuwahudumia watu baada ya kukamilisha vitu.

Barabara, madaraja, zahanati, hospitali, vivuko, ndege, meli, shule, vyuo, mahakama, reli, mabwawa ya umeme, n.k
Kwa haya tuyaonayo yatokanayo na Uongozi thabiti wa Jemedari JPM, ni jambo jema kama wanachama na viongozi wa vyama vyote kutangaza Azimio LA Kumuunga Mkono JPM katika kinyanganyiro cha Urais.

NCCR, CHADEMA, CUF, ACT, na CCM wachuane katika ubunge, lakini katika URAIS, kumuunge mkono Rais Imara aliyepo.

Nchi yenye Rais imara haina haja ya kutumia pesa kumchagua Rais ambaye tayari yupo, hizo pesa zinaweza kutumika katika shughuli zingine za Kimaendeleo.

Naomba kuwasilisha
 
Una laana wewe. Usidhani watu wote tuna akili mgando kama wewe! Ungana na mama yako na mumeo, kwani si mnaweza?
 
Kwa kuwa unakula kwa shemejio endelea kusifu na kuabudu
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi nchini Tanzania. Kwa uchapakazi, uzalendo, uthubutu, ujasiri na Uungwana wa mheshimiwa Rais Magufuli, wananchi wengi ndani na nje ya bara la Afrika wanatamani sana angekuwa Rais wa nchi zao.

Kama taifa, ushahidi upo wazi katika kasi ya miundo mbinu ya maendeleo iliyojengwa 2015-2020.
Kwa muhula wa pili, 2020-2025 itakuwa ni kuwahudumia watu baada ya kukamilisha vitu.

Barabara, madaraja, zahanati, hospitali, vivuko, ndege, meli, shule, vyuo, mahakama, reli, mabwawa ya umeme, n.k
Kwa haya tuyaonayo yatokanayo na Uongozi thabiti wa Jemedari JPM, ni jambo jema kama wanachama na viongozi wa vyama vyote kutangaza Azimio LA Kumuunga Mkono JPM katika kinyanganyiro cha Urais.

NCCR, CHADEMA, CUF, ACT, na CCM wachuane katika ubunge, lakini katika URAIS, kumuunge mkono Rais Imara aliyepo.

Nchi yenye Rais imara haina haja ya kutumia pesa kumchagua Rais ambaye tayari yupo, hizo pesa zinaweza kutumika katika shughuli zingine za Kimaendeleo.

Naomba kuwasilisha
 
Maendeleo hayana chama!
1590213780084.jpg
 
Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi nchini Tanzania. Kwa uchapakazi, uzalendo, uthubutu, ujasiri na Uungwana wa mheshimiwa Rais Magufuli, wananchi wengi ndani na nje ya bara la Afrika wanatamani sana angekuwa Rais wa nchi zao.
Kama taifa, ushahidi upo wazi katika kasi ya miundo mbinu ya maendeleo iliyojengwa 2015-2020.
Kwa muhula wa pili, 2020-2025 itakuwa ni kuwahudumia watu baada ya kukamilisha vitu.
Barabara, madaraja, zahanati, hospitali, vivuko, ndege, meli, shule, vyuo, mahakama, reli, mabwawa ya umeme, n.k
Kwa haya tuyaonayo yatokanayo na Uongozi thabiti wa Jemedari JPM, ni jambo jema kama wanachama na viongozi wa vyama vyote kutangaza Azimio LA Kumuunga Mkono JPM katika kinyanganyiro cha URAIS.
NCCR, Chadema, CUF, ACT, na CCM wachuane katika ubunge, lakini katika URAIS, kumuunge mkono Rais Imara aliyepo.
Nchi yenye RAIS imara haina haja ya kutumia pesa kumchagua RAIS ambaye tayari yupo, hizo pesa zinaweza kutumika katika shughuli zingine za Kimaendeleo.
Naomba kuwasilisha
Acha ujinga tunawataka akina Bensaanane et al! BASI! wakirudi hao tuzungumzie maendeleo!
 
Nashauri hata nyuma za ibada waache kutumia Jesus na Allah naomba watumie jina lake kama akaikataa tutamlazimisha
 
Maendeleo gani? foreign investment imeshuka kwa 67 percent yoka 2016-2020. Ukuaji uchumi mwaka 2020/2021 asilimia mbili ndio maendeleo gani?
 
Back
Top Bottom