LGE2024 Vyama zaidi ya 10 vya Upinzani Tanzania, vimefurahishwa na mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mtaa 2024?

LGE2024 Vyama zaidi ya 10 vya Upinzani Tanzania, vimefurahishwa na mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mtaa 2024?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu,

Hadi sasa hivi vyama vyama zaidi ya 10 vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Nawaomba vyama vifuatavyo vijipambanue kuunga mkono au kutounga mkono Mchakato unaoendelea wa Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024.

Vyama hivyo ni DP, AAFP, Demokrasia makini, SAU, TLP, UDP, NRA, UMD, TADEA, CCK, ADC, CHAUSTA na PPT Maendeleo.

Tumezoea kuona wakipongeza kazi za Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi na Wasaidizi wake. Wanadai CCM iungwe Mkono sababu ilituletea Uhuru.

Nashangaa hadi sasa hawajampongeza Waziri wa TAMISEMI baba Mkwe Mchengerwa wala hawajalalamika figisu za uchaguzi Serikali za Mitaa.

Soma Pia: Vyama vya upinzani vijijenge kitaasisi na sio kusubiri uchaguzi na kuanza kuleta malalamiko

Wanasubiri nini kutoa neno? Au hawajawezeshwa?

Viongizi wao watoke hadharani waseme neno lolote nafsi zetu zipone.

Kuna habari zinadai vyama hivi vimepandikizwa na CCM ili vipitishe ajenda za Serikali kwa kivuli cha vyama vingi Tanzania. Kuna ukweli gani?
thumb-1505458837-tadea.png
thumb-1500383167-Chama_Cha_Kijamii_Flag.jpg
thumb-1505458929-dp.png
thumb-1505458668-afp.png
thumb-1505458620-sau.png
thumb-1505458929-dp (1).png
thumb-1505458837-tadea (1).png
 
Salaam Wakuu,

Kadi sasa hivi vyama nane vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Nawaomba vyama vifuatavyo vijipambanue kuunga mkono au kutounga mkono Mchakato unaoendelea wa Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024.

Vyama hivyo ni DP, AAFP, Demokrasia makini, SAU, TLP, UDP, NRA, UMD.

Tumezoea kuona wakipongeza kazi za Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi na Wasaidizi wake. Wanadai CCM iungwe Mkono sababu ilituletea Uhuru.

Nashangaa hadi sasa hawajampongeza Waziri wa TAMISEMI baba Mkwe Mchengerwa wala hawajalalamika figisu za uchaguzi Serikali za Mitaa.

Wanasubiri nini kutoa neno? Au hawajawezeshwa?

Viongizi wao watoke hadharani waseme neno lolote nafsi zetu zipone.
Vina wagombea wangapi?
 
Salaam Wakuu,

Hadi sasa hivi vyama vyama zaidi ya 10 vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Nawaomba vyama vifuatavyo vijipambanue kuunga mkono au kutounga mkono Mchakato unaoendelea wa Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024.

Vyama hivyo ni DP, AAFP, Demokrasia makini, SAU, TLP, UDP, NRA, UMD, TADEA, CCK, ADC, CHAUSTA na PPT Maendeleo.

Tumezoea kuona wakipongeza kazi za Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi na Wasaidizi wake. Wanadai CCM iungwe Mkono sababu ilituletea Uhuru.

Nashangaa hadi sasa hawajampongeza Waziri wa TAMISEMI baba Mkwe Mchengerwa wala hawajalalamika figisu za uchaguzi Serikali za Mitaa.

Soma Pia: Vyama vya upinzani vijijenge kitaasisi na sio kusubiri uchaguzi na kuanza kuleta malalamiko

Wanasubiri nini kutoa neno? Au hawajawezeshwa?

Viongizi wao watoke hadharani waseme neno lolote nafsi zetu zipone.

Kuna habari zinadai vyama hivi vimepandikizwa na CCM ili vipitishe ajenda za Serikali kwa kivuli cha vyama vingi Tanzania. Kuna ukweli gani?
View attachment 3149544View attachment 3149545View attachment 3149546View attachment 3149547View attachment 3149548View attachment 3149549View attachment 3149550
Hivyo ni vyama au uchafu
 
Salaam Wakuu,

Hadi sasa hivi vyama vyama zaidi ya 10 vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Nawaomba vyama vifuatavyo vijipambanue kuunga mkono au kutounga mkono Mchakato unaoendelea wa Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024.

Vyama hivyo ni DP, AAFP, Demokrasia makini, SAU, TLP, UDP, NRA, UMD, TADEA, CCK, ADC, CHAUSTA na PPT Maendeleo.

Tumezoea kuona wakipongeza kazi za Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi na Wasaidizi wake. Wanadai CCM iungwe Mkono sababu ilituletea Uhuru.

Nashangaa hadi sasa hawajampongeza Waziri wa TAMISEMI baba Mkwe Mchengerwa wala hawajalalamika figisu za uchaguzi Serikali za Mitaa.

Soma Pia: Vyama vya upinzani vijijenge kitaasisi na sio kusubiri uchaguzi na kuanza kuleta malalamiko

Wanasubiri nini kutoa neno? Au hawajawezeshwa?

Viongizi wao watoke hadharani waseme neno lolote nafsi zetu zipone.

Kuna habari zinadai vyama hivi vimepandikizwa na CCM ili vipitishe ajenda za Serikali kwa kivuli cha vyama vingi Tanzania. Kuna ukweli gani?
View attachment 3149544View attachment 3149545View attachment 3149546View attachment 3149547View attachment 3149548View attachment 3149549View attachment 3149550
gentleman,
hakuna haja ya kubabaika na mipango mikakati ya vyama vingine huru vya kidemokrasia nchini, ikiwa chama chako kimepoteza uelekeo :pulpTRAVOLTA:
 
Hata ccm hawajaridhika nasikia wameweka mapingamizi
 
Salaam Wakuu,

Hadi sasa hivi vyama vyama zaidi ya 10 vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi Serikali za Mitaa?

Nawaomba vyama vifuatavyo vijipambanue kuunga mkono au kutounga mkono Mchakato unaoendelea wa Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024.

Vyama hivyo ni DP, AAFP, Demokrasia makini, SAU, TLP, UDP, NRA, UMD, TADEA, CCK, ADC, CHAUSTA na PPT Maendeleo.

Tumezoea kuona wakipongeza kazi za Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi na Wasaidizi wake. Wanadai CCM iungwe Mkono sababu ilituletea Uhuru.

Nashangaa hadi sasa hawajampongeza Waziri wa TAMISEMI baba Mkwe Mchengerwa wala hawajalalamika figisu za uchaguzi Serikali za Mitaa.

Soma Pia: Vyama vya upinzani vijijenge kitaasisi na sio kusubiri uchaguzi na kuanza kuleta malalamiko

Wanasubiri nini kutoa neno? Au hawajawezeshwa?

Viongizi wao watoke hadharani waseme neno lolote nafsi zetu zipone.

Kuna habari zinadai vyama hivi vimepandikizwa na CCM ili vipitishe ajenda za Serikali kwa kivuli cha vyama vingi Tanzania. Kuna ukweli gani?
View attachment 3149544View attachment 3149545View attachment 3149546View attachment 3149547View attachment 3149548View attachment 3149549View attachment 3149550
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom