Vyeo na Ngazi ya Elimu Kwa Masomo ya Sheria

Saaafi mkuu
 
haya we kariri tu vifungu vya sheria afu uone km utafaulu..sheria unatakiwa uisome vizuri uielewe then uichambue la sivyo hamna kitu kwahyo tusidanganyane eti sheria ni kukariri tu
 

"kwa kuanza na upande wa mda ndgu mtoa mada n kwamba "certficate in law(C.L)" tena siyo "of law" n mwaka 1, "diploma in law"(D.L), not diploma of law n miaka 2, LL.B(Legum Baccalaureus) n miaka 3 na ila kuna baadh ya vyuo huenda had miaka 4!, vyeo kiuhalisia n vgumu kutaja coz hutegemea hasa huyo mtu mwenye hizo quarfcation ameomba na anafanya kaz idara ipi, mfano mahakaman C.L huwa court clarcks, D.L huwa law secretaries zaman primary courts magistrates, LL.B huwa magistrates/mahakim etc....upande wa malipo it's not that easy to substentiate!
On the other side! juu ya ufaulu gan unahtajka kusoma course husika ni vyema ukatembelea "TCU gide book" kwa LL.B, C.L na D.L pitia vipeperushi vya vyuo vitoavyo course hizo au tembelea websites zao for more details!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…