Kwasisi wengine hatujui tofauti labda ungeanza kutufundisha tofauti za vyeo vya maafisa na kijeshiNimeandika vyeo vya maasifa wa jeshi na nilitaka kusisitiza vyeo ambavyo havitumiki Tanzania kwani vyeo vingine vilishwahi kutajwa humu siku nyingi sana; soma title vizuri haisemi vyeo vya kijeshi mbali inasema vyeo vya maafisa wa jeshi
Hii sikuijualakini baadaye tulifanya transition kwenda mfumo wa kimarekani kama ambavyo Kanada na Uganda pia zilifanya, tukaondoa cheo cha Brigadier na kuweka Brigadier General. Wale waliokuwa Mabrigadier wakati huo wakapanda kuwa Brigadier General.
Lance corporal, walikuwa wakivaa V moja. Kwa sasa hiko cheo hakipo majeshi yoteKuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.
Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
Kuna swali?
- Cadet officer
- 2nd Lieutenant
- Lieutenant
- Captain
- Major
- Major Colonel
- Captain Colonel
- Lieutenant Colonel
- Colonel
- Brigadier
- Brigadier General
- Colonel General
- Major General
- Captain General
- Lieutenant General
- General
- Field Marshall
Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Tuliondoa darasa la nane...! Nadhani ni mtindo huo huo wa kupunguza kucheleweshana!!! Mimi ni layman nisisikilizwe sana.cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division
Hiyo mkuu nimekuita Wewe ila namaanisha Tanzania tuna Brg Gen hakuna BrigediaSoma vizuri ulelewa kabla ya kujibu usichojua. Ni wapi nimesema Tanzania kuna Brigadier Mkuu? Usidakie mambo kabla ya kuyatafakari.
Acha kutuvuruga basiKuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.
Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
Kuna swali?
- Cadet officer
- 2nd Lieutenant
- Lieutenant
- Captain
- Major
- Major Colonel
- Captain Colonel
- Lieutenant Colonel
- Colonel
- Brigadier
- Brigadier General
- Colonel General
- Major General
- Captain General
- Lieutenant General
- General
- Field Marshall
Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane