Vyeo vya Maafisa Jeshi vilivyopo na ambavyo havitumiki katika Jeshi la taifa kwa sasa

Vyeo vya Maafisa Jeshi vilivyopo na ambavyo havitumiki katika Jeshi la taifa kwa sasa

Nimeandika vyeo vya maasifa wa jeshi na nilitaka kusisitiza vyeo ambavyo havitumiki Tanzania kwani vyeo vingine vilishwahi kutajwa humu siku nyingi sana; soma title vizuri haisemi vyeo vya kijeshi mbali inasema vyeo vya maafisa wa jeshi
Kwasisi wengine hatujui tofauti labda ungeanza kutufundisha tofauti za vyeo vya maafisa na kijeshi
 
lakini baadaye tulifanya transition kwenda mfumo wa kimarekani kama ambavyo Kanada na Uganda pia zilifanya, tukaondoa cheo cha Brigadier na kuweka Brigadier General. Wale waliokuwa Mabrigadier wakati huo wakapanda kuwa Brigadier General.
Hii sikuijua
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Lance corporal, walikuwa wakivaa V moja. Kwa sasa hiko cheo hakipo majeshi yote
 
Soma vizuri ulelewa kabla ya kujibu usichojua. Ni wapi nimesema Tanzania kuna Brigadier Mkuu? Usidakie mambo kabla ya kuyatafakari.
Hiyo mkuu nimekuita Wewe ila namaanisha Tanzania tuna Brg Gen hakuna Brigedia
 
Kuna watu wengi wasioelewa mtililiko wa vyeo vya maafisa wa jeshi hasa kwa vile Jeshi letu (na majeshi mengi yaliyorithi kutoka Uingereza) huruka baadhi ya vyeo na havitumiki kabisa katika jeshi letu. Nimeona niweke mtililiko kamili wa vyeo hivyo ili kuelewesha ni vyeo gani ambavyo havitumiki kwenye jeshi letu.

Kwenye mtililiko huu, vyeo nilivyowekea rangi nyekundu havitumiki Tanzania lakini vinaweza kuwa vinatumika katika nchi nyingine ambako pia unaweza kukuta wamevigeuza; kwa mfano kwa Urusi Colonel General yuko juu ya Major General. Nchi nyingine zinatumia majina tofauti kwa vyeo hivyo, kwa mfano China ambayo haina cheo cha Brigadier au Brigadier General inakitambua cheo cha Colonel General kama Senior Colonel; cheo hicho huko Brazil kinajulikana kama Division General.
  1. Cadet officer
  2. 2nd Lieutenant
  3. Lieutenant
  4. Captain
  5. Major
  6. Major Colonel
  7. Captain Colonel
  8. Lieutenant Colonel
  9. Colonel
  10. Brigadier
  11. Brigadier General
  12. Colonel General
  13. Major General
  14. Captain General
  15. Lieutenant General
  16. General
  17. Field Marshall
Kuna swali?

Soma Pia: Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane
Acha kutuvuruga basi
 
Back
Top Bottom