LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Ndoa ni muungano wa mwanaume na mwanamke kuishi pamoja maisha yao yote,huku wakijenga familia watakayoipata.
Kwenye ndoa kuna raha na shida,wanandoa hawana budi kuvumiliana katika kipindi kigumu kwenye ndoa yao kipite.
Hoja ni kwamba kuna ulazima gani kwa wanandoa kupewa cheti cha ndoa wakati bado hawajafuzu kukabiliana na kuzishinda changamoto za ndoa?
Maana ndoa zimekuwa zikivunjika mapema, kwa nini wasipewe vyeti wakifikisha miaka 25 au 50?
Umru huo wa ndoa utakuwa umepitia mengi magumu na kuyashinda.
Kwenye ndoa kuna raha na shida,wanandoa hawana budi kuvumiliana katika kipindi kigumu kwenye ndoa yao kipite.
Hoja ni kwamba kuna ulazima gani kwa wanandoa kupewa cheti cha ndoa wakati bado hawajafuzu kukabiliana na kuzishinda changamoto za ndoa?
Maana ndoa zimekuwa zikivunjika mapema, kwa nini wasipewe vyeti wakifikisha miaka 25 au 50?
Umru huo wa ndoa utakuwa umepitia mengi magumu na kuyashinda.