Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Ccm wametangaza hadharani na kifichoni kuwa wako tayari kuua kupiga wapinzani,Hao polisi wanawaangalia tu
Mleta mada ni sehemu ya mpango huo; wa kuwatisha watu na kuwatia woga.

Inaelekea hali hii itazidi kuongezeka zaidi kadri uchaguzi unavyokaribia; kuwatia uoga watu hata kura wasiende kupiga.

Ni kazi ya vyama vya upinzani kuyafichua haya na kuhimiza watu wengi wakapige kura.
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
HASA HAWA WA CCM
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
kikubwa haki itendeke... sioni kama kuna Mtanzania yeyote anayependa vurugu.

Watanzania wangekuwa watu wa vurugu wangekuwa washakula kichwa cha Jecha tangu 2015, au wangewavunjavunja mbavu waliommwagia mvua ya risasi Lissu 2017, ama wale waliompiga risasi yenye kukata kona juu kwa juu yule binti yetu mpenzi Aquiline!
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Wakati chadema wanamsimamisha Dk slaa kuwa mgombea ktk kiti CGA urais miaka ileee nilitumiwa sms kutoka amba. OOOO ikinitaka nisimchague dk slaa kwani anataoeta machafuko kama yanaotokea huko nchi jirani ,kwa akili yko ndogo tuu unawaza ujumbe huu ulitengenezwa na nani? Je kuna mwingine alitumiwa ujumbee huu? Nn lilikuwa dhumuni la ujumbe huu?
 
Tanzania ipi hiyo!??
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
 
Amani huku mkipora ushindi wa wengine? Kwenye nchi za kiafrika bila machafuko amani na heshima huwa havipatikani.
Wapo watu wa kupewa nchi miaka ijayo kwenye 2100 huko.ila sio Chadema kila siku mnanunuliwa kwa fedha za kununua karanga ndo mpewe nchi nyinyi.hata ofisi mnapanga miaka yote!!?.
 
Kila uchaguzi huwa yanasemwa hayo. Hiki sio chama cha kuzikana mkuu ni NCHI yenye serikali THABITI. Mwenye huo ubavu hayupo na kama uliwaona waambie wajaribu walete mrejesho. Wote tunapenda amani na tunaijua thamani yake. Wanaotamani machafuko pia watafikiriwa namna ya kupewa haki yao bila kuathiri haki ya wengi tunaopenda amani.
Mkuu unajua chanzo cha machafuko?
Unajua kwanini wamejiongezea kinga hao watawala?
Mara zote watawala wamekua mstari wa mbele kusababisha machafuko.
 
Cha muhimu magufuli asigombee urais ili kulinda Amani ya nchi maana watu wamemchoka awataki kumuona .
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Buku 7
 
Wapo watu wa kupewa nchi miaka ijayo kwenye 2100 huko.ila sio Chadema kila siku mnanunuliwa kwa fedha za kununua karanga ndo mpewe nchi nyinyi.hata ofisi mnapanga miaka yote!!?.

Watu sio cdm, wamenunuliwa watu na sio chama. Ofisi kupanga wamepanga Kenya au hapa hapa Tanzania?
 
Watu sio cdm, wamenunuliwa watu na sio chama. Ofisi kupanga wamepanga Kenya au hapa hapa Tanzania?
Hata chama sio cha watu ni cha familia ya Mbowe.
hawajapanga Kenya wamepanga uzazi.
 
Hyo machafuko inawezekana ikawa ndyo njia pekee iliyobaki kupata katiba mpya na uchaguzi huru. Mbinu za amani zimegma
 
Nasema hivi, peleka uduwanzi mbali. Rudi shule ukajifunze kuandika badala ya kuuza face hapa jukwaani.
Si tulifikia kwenye Chadema ni chama cha familia ya Mbowe,mbona unahama mada?
 
Ukiangalia miendo ya wana siasa hasa kipindi hiki ni wazi kuna hali ya sintofahamu ya wazi kabisa juu ya mustakabali wa Taifa letu.Wengi wao wamejiaanda na waziwazi kutaka machafuko yatokee endapo tu ushindi hautakuwa upande wao.Jambo la hatari sana!


Kwa viashiria hivyo,naviasa vyombo vya dola viwe macho hasa muda huu na visikubali mwana siasa yeyote kuiingiza Nchi yetu katika hali isiyozoelewa hapo awali na ni wajibu wa ninyi walinda usalama kusimama kidete na bila kumuonea hiana mfanya siasa yeyote yule ataye sababisha jambo hilo.


Mungu ibariki Tanzania.
Hakuna kitu kibaya kama kuwapiga risasi kuwabambikia kesi kuwahujumu kuwadhoofisha wanaofanya hayo matendo Mbona vyombo vya dolaccm havijawachukulia hatua? Naona umeanza kutengeneza kisingizio cha kuwapiga wapinzani mapema ili siku mkianza kuwanyanyasa kuwapiga muwasingizie kuwa wanahatarisha Aman.
 
Back
Top Bottom