Vyombo vya dola endeleeni kuwa macho. Kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamedhamiria kuiingiza Nchi katika machafuko ya kisiasa

Ccm wametangaza hadharani na kifichoni kuwa wako tayari kuua kupiga wapinzani,Hao polisi wanawaangalia tu
Mleta mada ni sehemu ya mpango huo; wa kuwatisha watu na kuwatia woga.

Inaelekea hali hii itazidi kuongezeka zaidi kadri uchaguzi unavyokaribia; kuwatia uoga watu hata kura wasiende kupiga.

Ni kazi ya vyama vya upinzani kuyafichua haya na kuhimiza watu wengi wakapige kura.
 
HASA HAWA WA CCM
 
kikubwa haki itendeke... sioni kama kuna Mtanzania yeyote anayependa vurugu.

Watanzania wangekuwa watu wa vurugu wangekuwa washakula kichwa cha Jecha tangu 2015, au wangewavunjavunja mbavu waliommwagia mvua ya risasi Lissu 2017, ama wale waliompiga risasi yenye kukata kona juu kwa juu yule binti yetu mpenzi Aquiline!
 
Wakati chadema wanamsimamisha Dk slaa kuwa mgombea ktk kiti CGA urais miaka ileee nilitumiwa sms kutoka amba. OOOO ikinitaka nisimchague dk slaa kwani anataoeta machafuko kama yanaotokea huko nchi jirani ,kwa akili yko ndogo tuu unawaza ujumbe huu ulitengenezwa na nani? Je kuna mwingine alitumiwa ujumbee huu? Nn lilikuwa dhumuni la ujumbe huu?
 
Tanzania ipi hiyo!??
 
Amani huku mkipora ushindi wa wengine? Kwenye nchi za kiafrika bila machafuko amani na heshima huwa havipatikani.
Wapo watu wa kupewa nchi miaka ijayo kwenye 2100 huko.ila sio Chadema kila siku mnanunuliwa kwa fedha za kununua karanga ndo mpewe nchi nyinyi.hata ofisi mnapanga miaka yote!!?.
 
Mkuu unajua chanzo cha machafuko?
Unajua kwanini wamejiongezea kinga hao watawala?
Mara zote watawala wamekua mstari wa mbele kusababisha machafuko.
 
Cha muhimu magufuli asigombee urais ili kulinda Amani ya nchi maana watu wamemchoka awataki kumuona .
 
Buku 7
 
Wapo watu wa kupewa nchi miaka ijayo kwenye 2100 huko.ila sio Chadema kila siku mnanunuliwa kwa fedha za kununua karanga ndo mpewe nchi nyinyi.hata ofisi mnapanga miaka yote!!?.

Watu sio cdm, wamenunuliwa watu na sio chama. Ofisi kupanga wamepanga Kenya au hapa hapa Tanzania?
 
Watu sio cdm, wamenunuliwa watu na sio chama. Ofisi kupanga wamepanga Kenya au hapa hapa Tanzania?
Hata chama sio cha watu ni cha familia ya Mbowe.
hawajapanga Kenya wamepanga uzazi.
 
Hyo machafuko inawezekana ikawa ndyo njia pekee iliyobaki kupata katiba mpya na uchaguzi huru. Mbinu za amani zimegma
 
Nasema hivi, peleka uduwanzi mbali. Rudi shule ukajifunze kuandika badala ya kuuza face hapa jukwaani.
Si tulifikia kwenye Chadema ni chama cha familia ya Mbowe,mbona unahama mada?
 
Hakuna kitu kibaya kama kuwapiga risasi kuwabambikia kesi kuwahujumu kuwadhoofisha wanaofanya hayo matendo Mbona vyombo vya dolaccm havijawachukulia hatua? Naona umeanza kutengeneza kisingizio cha kuwapiga wapinzani mapema ili siku mkianza kuwanyanyasa kuwapiga muwasingizie kuwa wanahatarisha Aman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…