Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio Mwanaccm unayefaidi wale wa yebo yebo tuko sawa tu na wapinzaniKazi
Na wao wanaalikwa kuunga mkono juhudi za ukomboziKazi kweli kweli
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Ewe njiwa peleka Salam, kwa wale wasioamimiKazi kweli kweli
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Sidhani kama anashare the same na Tundu Lissu na genge lake humu jamvini.Awapongeza Jeshi la Polisi.
Sidhani kama anashare the same na Tundu Lissu na genge lake humu jamvini.
au, kama Tundu Lissu huko mwanzoni wa mihadhara yake amedai hayo hayo....walakini ikija kwenye vyombo vya habari na kwingine Wanadai wanalega lega, kuwa hawana hata weledi wa kuchunguza matukio....na mengine lukuki?
Kuna nini la kuchukua katika matamshi yao? Wanogopa? Wanajikomba, au Ufahamu unawarudia? au ndio ulikuwa Uwendanazimu? kurudia rudia mapungufu ya Jeshi la Polisi wakati wao wakiweka mazingira mabovu na kudai polisi anyau!
Kitaeleweka
We jamaa unapenda ugomvi😅Mtoa ushauri mwenyewe katafuna M100 za Sabodo alizowapa kujenga ofisi yenye hadhi.
Hii ni sawa na mwewe kumshauri kunguru namna ya kuiba watoto wa kuku 🤣🤣🤣
Ama kweli hii ni siasa siasani.
Najaribu kuwatoa watu kwenye ulaghai wa siasa uchwara 🤣🤣🤣We jamaa unapenda ugomvi😅
Sidhani kama kuna mtu mwenye nia njema atashindwa kuona hili...hata Lissu amewapongeza Polisi kwa kuachana na uhuni waliokuwa wakielekezwa kufanya na Magufuli dhidi ya wapinzani.
Watoe kwanza wanaccm wenzio hukoNajaribu kuwatoa watu kwenye ulaghai wa siasa uchwara 🤣🤣🤣
Mbona hueleweki?Sidhani kama anashare the same na Tundu Lissu na genge lake humu jamvini.
au, kama Tundu Lissu huko mwanzoni wa mihadhara yake amedai hayo hayo....walakini ikija kwenye vyombo vya habari na kwingine Wanadai wanalega lega, kuwa hawana hata weledi wa kuchunguza matukio....na mengine lukuki?
Kuna nini la kuchukua katika matamshi yao? Wanogopa? Wanajikomba, au Ufahamu unawarudia? au ndio ulikuwa Uwendanazimu? kurudia rudia mapungufu ya Jeshi la Polisi wakati wao wakiweka mazingira mabovu na kudai polisi anyau!
Kitaeleweka
Mrema alisema mwaka 1995 "mtu anatembea miguu peku kama jogoo.lakini hakuelewi ukisema ccw na jamaa yao chavda wezi watupu"...." utamkuta mtu amevaa yebo yebo zimechanika"" anakwambia Mimi na CCM damu damu. Mh Mbowe.
😅😅😅😅Mrema alisema mwaka 1995 "mtu anatembea miguu peku kama jogoo.lakini hakuelewi ukisema ccw na jamaa yao chavda wezi watupu"
Nimesema hayo juu☝️au, kama Tundu Lissu huko mwanzoni wa mihadhara yake amedai hayo hayo....walakini ikija kwenye vyombo vya habari na kwingine Wanadai wanalega lega, kuwa hawana hata weledi wa kuchunguza matukio....na mengine lukuki?
..hata Lissu amewapongeza Polisi kwa kuachana na uhuni waliokuwa wakielekezwa kufanya na Magufuli dhidi ya wapinzani.
Na nani?Mbona hueleweki?
Kenge wewe!Siku Mbowe na Mbatia wakiachwa kutumika TISS nitajiunga Upinzani.