Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Najuaga huna akili lakini sio kwa kiwango hiki JoKazi kweli kweli
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najuaga huna akili lakini sio kwa kiwango hiki JoKazi kweli kweli
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
Injili inahubiriwa kila taifa wasisizibe masikioEwe njiwa peleka Salam, kwa wale wasioamimi
Kamdanganye Polepole na BashiruSiku Mbowe na Mbatia wakiachwa kutumika TISS nitajiunga Upinzani.
Huo ndio ukweli mchunguKamdanganye Polepole na Bashiru
SawaHuo ndio ukweli mchungu
Upinzani hawahitaji mpumbavu kama weweSiku Mbowe na Mbatia wakiachwa kutumika TISS nitajiunga Upinzani.
Kuna watz wa ajabu sana na huyo jamaa anaongozaUpinzani hawahitaji mpumbavu kama wewe
Ustaraabu ndio jadi yetu.Siasa safi kutoka kwa Mbowe
Alikuwa jiweKuna watz wa ajabu sana na huyo jamaa anaongoza
Kazi kweli kweli
Mbowe: Wanachama wenzangu wa CCM
😅😅😅daa hakuwa peke yake. Tena huenda kuna watu walikiwa wanamdanganya na kumtisha kwamba mzee usipofanya hivi urais tunauchukua. Akaogopa. Nawaza tuAlikuwa jiwe
Single ile ile miaka yoote. Ime expire sasaHii santuri imechuja sasa, badilisha nyingine.
Huku wengi wanajielewa mkuu. Vigumu sana kuwashikia akili kama upande huo wa pili 😂😂😂Watoe kwanza wanaccm wenzio huko
Wewe mwanakijijini ndio umechuja wenzako wanalamba asali ya kijani!Hii santuri imechuja sasa, badilisha nyingine.
Bila asali nani angebaki CCM?!Huku wengi wanajielewa mkuu. Vigumu sana kuwashikia akili kama upande huo wa pili 😂😂😂
Leo umepata uteuzi?Wewe mwanakijijini ndio umechuja wenzako wanalamba asali ya kijani!
HakunaBila asali nani angebaki CCM?!
Nilishastaafu kitambo nakula pensheni!Leo umepata uteuzi?