Vyombo vya Dola mmelitoboa Jahazi, itisheni boti za uokozi tusizame

True aliyemtolea nape bastola angedhibitiwa mapema asingelifedhehesha jeshi la police.

Wasiojulikana wote wanajulikana au wanalink na police, ushahidi ishu ya Area C Dodoma police wa getini ndio waliofungua geti, then baada ya tukio walihamishwa.

Leo acha wafedheheke
 
Achana nao..wamechagua maisha ya dhulma na dhambi.

After all wengi wao ni form four leaver.

Wapo kwaajili ya kupokea amri tu na si kutumia ubongo
 
Alitumia muda mwingi kujipanga kuidhibiti Chadema waonekane wahalifu badala ya kushughulikia uhalifu
Sirro hovyo kabisa rejea ya

1. Hamza

2. Mo dewj

3. Roma mkatoliki

4. Alphonse mawazo

Mpaka unajiuliza hicho cheo alikipataje?


Angeiga ya Mzee said mwema au Ernest Mangu
 
Siku hizi mara [emoji817] ukutane na majambazi utasalimika kuliko kukutana na askali polisi.

Refer
1. Hamza

2. Muuza madini wa mtwara na wengine wengi
 
Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…