Vyombo vya Dola viache Demokrasia ikue Afrika, viige mfano wa Malawi

Vyombo vya Dola viache Demokrasia ikue Afrika, viige mfano wa Malawi

Chief Kabikula

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
7,567
Reaction score
9,037
Nivipe pongezi vyombo vya dola vya Malawi kwa kutenda haki na nchi zingine zinifunze kutoka Malawi. Jeshi, Polisi, Mahakama, majaji na mkuu wa jeshi aliyekubali kufukuzwa kazi, lakini alisimamia msimamo wake palepale penye haki. Alikataa kupiga raia, Majaji waliktaa rushwa ya mabililioni, stories ni ndefu tujifunze kutoka Malawi.

IMG_20200628_175900.jpg
 
Haki ni kumpa ushindi anayestahili Kama kilichofanyika malawi na ndio kinachofanyika hapa nyumbani.
 
Haki ni kumpa ushindi anayestahili Kama kilichofanyika malawi na ndio kinachofanyika hapa nyumban
 
Wachumia tumbo kama akina Sirro na Mambosasa na kadi zao za mbogamboga mifukoni wanawaza maslahi yao tu.
 
Safi mkuu kwa kuja na mada makini sana,jeshi la ulinzi la Malawi liliingia mitaani kulinda raia SIO kulinda wachumia tumbo,na speech ya kwanza ya Rais ilikuwa A1,IMEANDIKWA VEMA na kudos kwa speech writer wa Rais,na why jeshi letu la ulinzi liliamua kufanya patrol kwenye mitaa ya jiji la mbeya siku ya uchaguzi ipo siku ukweli utajulikana maana hii patrol haijafanyika tena !!!!
 
Nivipe pongezi vyombo vya dola vya Malawi kwa kutenda haki na nchi zingine zinifunze kutoka Malawi. Jeshi, Polisi, Mahakama, majaji na mkuu wa jeshi aliyekubali kufukuzwa kazi, lakini alisimamia msimamo wake palepale penye haki. Alikataa kupiga raia, Majaji waliktaa rushwa ya mabililioni, stories ni ndefu tujifunze kutoka Malawi.

Vinashindwa maana huko upinzani hamna wa kukabidhi kiti/uongozi
 
Nivipe pongezi vyombo vya dola vya Malawi kwa kutenda haki na nchi zingine zinifunze kutoka Malawi. Jeshi, Polisi, Mahakama, majaji na mkuu wa jeshi aliyekubali kufukuzwa kazi, lakini alisimamia msimamo wake palepale penye haki. Alikataa kupiga raia, Majaji waliktaa rushwa ya mabililioni, stories ni ndefu tujifunze kutoka Malawi.

The awakening is coming this direction
 
Nivipe pongezi vyombo vya dola vya Malawi kwa kutenda haki na nchi zingine zinifunze kutoka Malawi. Jeshi, Polisi, Mahakama, majaji na mkuu wa jeshi aliyekubali kufukuzwa kazi, lakini alisimamia msimamo wake palepale penye haki. Alikataa kupiga raia, Majaji waliktaa rushwa ya mabililioni, stories ni ndefu tujifunze kutoka Malawi.

Polisi wa Malawi waliwahi kupambana na Jeshi la nchi hiyo.
 
Waachwe wananchi waamue wenyewe . Siyo wewe mpaka uridhike na mpinzani wako .
Hata wananchi wakiamua kutangazwa bado ishu iko pale pale kwani mara ngapi wanashinda lakini hawapewi.
Naomba niishie hapo tafadhali
 
Pamoja na jeshi vilevile raia wa malawi walipigania Sana mageuzi nchini mwao kwa vitendo.
 
Hivi weee mooderator uliopo saa hizi umekazana kuniblock ,Basi uwe unaanzisha mada wewe ,halafu unatupa na mawazo ya kuchangia mada Kama unavyotaka wewe.
 
Back
Top Bottom