Vyombo vya Dola viache Demokrasia ikue Afrika, viige mfano wa Malawi

Vyombo vya Dola viache Demokrasia ikue Afrika, viige mfano wa Malawi

Nivipe pongezi vyombo vya dola vya Malawi kwa kutenda haki na nchi zingine zinifunze kutoka Malawi. Jeshi, Polisi, Mahakama, majaji na mkuu wa jeshi aliyekubali kufukuzwa kazi, lakini alisimamia msimamo wake palepale penye haki. Alikataa kupiga raia, Majaji waliktaa rushwa ya mabililioni, stories ni ndefu tujifunze kutoka Malawi.

Ivyo vyombo kila siku mnavitukana alafu mnategemea viwasaidie endeleen kupambana na Hali zenu
 
Waache demokrasia ikue kwa maslahi ya nani, acha kitu kinachoitwa madaraka.

CCM haiji kutoka madarakani kwa vikaratisi vyenu hivyo.

Cha kuitoa ccm Madarakani ni damu tu, historia haidanganyi.
 
Back
Top Bottom