Vyombo vya dola viwachukulie hatua kali sana matapeli wanaojifanya chawa kwa kumshushia hadhi yake Rais

Acha kuimba mapambio kama kasuku bibi,........Kama World Bank kwenye ripoti yao wanasema uchumi wa Tanzania siyo jumuishi, unatengeneza kundi kubwa la watu walionasa kwenye mnyororo wa umaskini 'a large segment of population trapped in a vicious cycle of poverty' unaelewa uzito wa hiyo sentensi?

Maana yake hii nchi inaenda kwenye mwelekeo wa kuwa na raia wengi walio topea kwenye lindi la ufukara ambao hawawezi kumudu yale mahitaji ya msingi kabisa.....chakula, mavazi, malazi. Ni aibu kubwa kwa nchi kama Tanzania kuwa kwenye nchi zinazoburuza mkia kwa wananchi wake kuwa na hali duni za kimaisha.......endeleeni kuimba mapambio na kutengeneza magenge ya ulaji.​
 
We hata ungepewa kijiji kwa mawazo hayo usingeweza kuiongoza. Tulia pambana na hali yako serikali iko right truck! Tuna imani na serikali yetu tukufu ya Dr. Samia Suluhu Hassan
 
Mbona husemi kina kimsboy na wajinga wengine wazushi na wapotoshaji km yeye wasikamatwe. Uhuru wa mawazo ila uishie pale haki ya mwenzio inakoanzia.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Ati vyombo vya Dola..." πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Asnt Sana bro, Tanzania ikiwa na raia million 20 wa hivi basi ukombozi upo 2025
 
Nigrastratatract nerve unakunywa wine gani boss.
K2a kweli
Lucas mwashambwa na
ChoiceVariable wamekua kero kwa kusifia na kuabudu kusiko na mipaka.
Hata huku kupanda kwa nauli na Bei ya sukari, kukatika kwa umeme Mara kwa Mara wanaona Ni powa tu.
Sasa hivi wahaya tulio Dar Bukoba tutakua tunaisikia kwenye redio.
Watu tumepata hasara za mamilioni kwenye biashara ya kutotolesha vifaranga. Unaweza vifaranga kwenye mashine siku ya kumi na nane umeme unakatika bila taarifa, by the time unarudi vifaranga vimekufa.
Yaani ukiona MTU anasifia.........
 
Mhaya uache kujenga uchumi wa Bukoba itoke kwenye umaskini wewe unawaza kwenda Dar.

Ningekuwa Rais ningewapiga marufuku kusafiri Dar,mnakimbia kwenu mnaenda kuuza k Dar pumbavu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…