Vyombo vya Dola viwekeze kwenye mambo ya maana

Vyombo vya Dola viwekeze kwenye mambo ya maana

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Naomba nishauri ya kwamba vyombo vya Dola viwekeze kwenye mambo ya maana na sio kwenye mambo ya kijinga. Kwa muda mrefu vyombo vya Dola vimewekeza akili na vifaa kwenye kupambana na vyama pinzani. Kuteka, kuua na kunyanyasa wapinzani. Ila akili ya kupambana na maafa ni zero.

Tuliona kwenye tukio la ndege kule Bukoba, ajali ya meli kule ukerewe na Leo ajali ya jengo pale kariakoo. Utayari wa kushughulikia majanga ni mdogo Sana ukilinganisha na kushughulikia maandamano ya wapinzani au nguvu ya kumteka na kumuua Mzee Ally Kibao. Akili nyingi ya vyombo vyetu ipo kwa wapinzani na sio kazi yao sahihi. Ndio maana mpaka Kuna kesi ya utapeli ya milioni mia nne polisi hawaangaiki nayo lakini wambie wampoteze aliyechoma picha ya Rais wapo haraka Sana.

Nashauri kwa Dunia ya Sasa vyombo vyetu vya Dola vibadilike kabla havijabadilishwa na wakati. Viachane na akili za mwaka 1970, na Sasa vijikite kwenye technolojia ya maafa na mengineyo.

Ni ushauri tu.
 
Naomba nishauri ya kwamba vyombo vya Dola viwekeze kwenye mambo ya maana na sio kwenye mambo ya kijinga. Kwa muda mrefu vyombo vya Dola vimewekeza akili na vifaa kwenye kupambana na vyama pinzani. Kuteka, kuua na kunyanyasa wapinzani. Ila akili ya kupambana na maafa ni zero.

Tuliona kwenye tukio la ndege kule Bukoba, ajali ya meli kule ukerewe na Leo ajali ya jengo pale kariakoo. Utayari wa kushughulikia majanga ni mdogo Sana ukilinganisha na kushughulikia maandamano ya wapinzani au nguvu ya kumteka na kumuua Mzee Ally Kibao. Akili nyingi ya vyombo vyetu ipo kwa wapinzani na sio kazi yao sahihi. Ndio maana mpaka Kuna kesi ya utapeli ya milioni mia nne polisi hawaangaiki nayo lakini wambie wampoteze aliyechoma picha ya Rais wapo haraka Sana.

Nashauri kwa Dunia ya Sasa vyombo vyetu vya Dola vibadilike kabla havijabadilishwa na wakati. Viachane na akili za mwaka 1970, na Sasa vijikite kwenye technolojia ya maafa na mengineyo.

Ni ushauri tu.
Kuna shida kubwa sana Afrika. Sip Tanzania tu
 
Serikali dhalim ya CCM inatumia mamia ya mabilioni kununua zana za kudhuru na kuua wapinzani badala ya kununua zana za kuokoa maisha ya watu. CCM ni Chama Cha Mashetani.
 
Naomba nishauri ya kwamba vyombo vya Dola viwekeze kwenye mambo ya maana na sio kwenye mambo ya kijinga. Kwa muda mrefu vyombo vya Dola vimewekeza akili na vifaa kwenye kupambana na vyama pinzani. Kuteka, kuua na kunyanyasa wapinzani. Ila akili ya kupambana na maafa ni zero.

Tuliona kwenye tukio la ndege kule Bukoba, ajali ya meli kule ukerewe na Leo ajali ya jengo pale kariakoo. Utayari wa kushughulikia majanga ni mdogo Sana ukilinganisha na kushughulikia maandamano ya wapinzani au nguvu ya kumteka na kumuua Mzee Ally Kibao. Akili nyingi ya vyombo vyetu ipo kwa wapinzani na sio kazi yao sahihi. Ndio maana mpaka Kuna kesi ya utapeli ya milioni mia nne polisi hawaangaiki nayo lakini wambie wampoteze aliyechoma picha ya Rais wapo haraka Sana.

Nashauri kwa Dunia ya Sasa vyombo vyetu vya Dola vibadilike kabla havijabadilishwa na wakati. Viachane na akili za mwaka 1970, na Sasa vijikite kwenye technolojia ya maafa na mengineyo.

Ni ushauri tu.
Tatizo liko kwa hao wanao viongoza
 
Naomba nishauri ya kwamba vyombo vya Dola viwekeze kwenye mambo ya maana na sio kwenye mambo ya kijinga. Kwa muda mrefu vyombo vya Dola vimewekeza akili na vifaa kwenye kupambana na vyama pinzani. Kuteka, kuua na kunyanyasa wapinzani. Ila akili ya kupambana na maafa ni zero.

Tuliona kwenye tukio la ndege kule Bukoba, ajali ya meli kule ukerewe na Leo ajali ya jengo pale kariakoo. Utayari wa kushughulikia majanga ni mdogo Sana ukilinganisha na kushughulikia maandamano ya wapinzani au nguvu ya kumteka na kumuua Mzee Ally Kibao. Akili nyingi ya vyombo vyetu ipo kwa wapinzani na sio kazi yao sahihi. Ndio maana mpaka Kuna kesi ya utapeli ya milioni mia nne polisi hawaangaiki nayo lakini wambie wampoteze aliyechoma picha ya Rais wapo haraka Sana.

Nashauri kwa Dunia ya Sasa vyombo vyetu vya Dola vibadilike kabla havijabadilishwa na wakati. Viachane na akili za mwaka 1970, na Sasa vijikite kwenye technolojia ya maafa na mengineyo.

Ni ushauri tu.
😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom