Vyombo vya habari havikuwepo ndani ya chumba cha Mahakama wakati maamuzi shauri la Mwambukusi yanasomwa: Je, walikatazwa kuingia mahakamani?Na nani?

Vyombo vya habari havikuwepo ndani ya chumba cha Mahakama wakati maamuzi shauri la Mwambukusi yanasomwa: Je, walikatazwa kuingia mahakamani?Na nani?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Leo huku ya shauri alilofungua Maambukusi imetoka. Wakati kesi hii inaanza hadi inamalizika vyombo vyote vikubwa vya habari nchi vilijiweka mbali na viunga vya Mahakama.

Hakuna chombo kinachofafanunua chanzo cha kesi, hoja na utetezi uliotolewa. Hakuna chombo kinachofahamu TLS iliwakiulishwa na nani? Hakuna chombo kilichojaribu kumhoji RAIS wa TLs wala kwa namna yoyote kuunga mkono mapambano ya Mwambukusi.

Je vyombo hivi vinakatazwa kufuatilia habari kama hizi? Nani anawakataza? Kwanini leo wote wameandika habari inayofanana? Kwanini hakuna clip nyingine tofauti na ile aliyoandaa Mwambukusi na timu yake?

Nani anaweka huu uoga kwa wana habari? Kwa malengo gani?
 
IMG_20240726_160730.jpg
 
Leo huku ya shauri alilofungua Maambukusi imetoka. Wakati kesi hii inaanza hadi inamalizika vyombo vyote vikubwa vya habari nchi vilijiweka mbali na viunga vya Mahakama.

Hakuna chombo kinachofafanunua chanzo cha kesi, hoja na utetezi uliotolewa. Hakuna chombo kinachofahamu TLS iliwakiulishwa na nani? Hakuna chombo kilichojaribu kumhoji RAIS wa TLs wala kwa namna yoyote kuunga mkono mapambano ya Mwambukusi.

Je vyombo hivi vinakatazwa kufuatilia habari kama hizi? Nani anawakataza? Kwanini leo wote wameandika habari inayofanana? Kwanini hakuna clip nyingine tofauti na ile aliyoandaa Mwambukusi na timu yake?

Nani anaweka huu uoga kwa wana habari? Kwa malengo gani?
BWANA ROSTAM AZIZI
 
Leo huku ya shauri alilofungua Maambukusi imetoka. Wakati kesi hii inaanza hadi inamalizika vyombo vyote vikubwa vya habari nchi vilijiweka mbali na viunga vya Mahakama.

Hakuna chombo kinachofafanunua chanzo cha kesi, hoja na utetezi uliotolewa. Hakuna chombo kinachofahamu TLS iliwakiulishwa na nani? Hakuna chombo kilichojaribu kumhoji RAIS wa TLs wala kwa namna yoyote kuunga mkono mapambano ya Mwambukusi.

Je vyombo hivi vinakatazwa kufuatilia habari kama hizi? Nani anawakataza? Kwanini leo wote wameandika habari inayofanana? Kwanini hakuna clip nyingine tofauti na ile aliyoandaa Mwambukusi na timu yake?

Nani anaweka huu uoga kwa wana habari? Kwa malengo gani?
Huku ndiko ninako kuita 'KUTEKWA' kwa waTanzania na CCM.
Siyo vyombo vya habari na waandishi pekee, bali hadi vyama vyote vya upinzani; wote ni wahanga wa utekwaji huu.
 
Leo huku ya shauri alilofungua Maambukusi imetoka. Wakati kesi hii inaanza hadi inamalizika vyombo vyote vikubwa vya habari nchi vilijiweka mbali na viunga vya Mahakama.

Hakuna chombo kinachofafanunua chanzo cha kesi, hoja na utetezi uliotolewa. Hakuna chombo kinachofahamu TLS iliwakiulishwa na nani? Hakuna chombo kilichojaribu kumhoji RAIS wa TLs wala kwa namna yoyote kuunga mkono mapambano ya Mwambukusi.

Je vyombo hivi vinakatazwa kufuatilia habari kama hizi? Nani anawakataza? Kwanini leo wote wameandika habari inayofanana? Kwanini hakuna clip nyingine tofauti na ile aliyoandaa Mwambukusi na timu yake?

Nani anaweka huu uoga kwa wana habari? Kwa malengo gani?
Hujui?
 
Huku ndiko ninako kuita 'KUTEKWA' kwa waTanzania na CCM.
Siyo vyombo vya habari na waandishi pekee, bali hadi vyama vyote vya upinzani; wote ni wahanga wa utekwaji huu.
Jamani tuamke hii nchi imetekwa ma ccm embu tuamke angalieini na hii

Mwakabusi ukiingia madarakani tunakuombauchallange na hii sasa kila mwenza wa mtumishi wa umma akiclaim na yeye apewe pension kama ya mwenza wake itakuwaje?
 
Leo huku ya shauri alilofungua Maambukusi imetoka. Wakati kesi hii inaanza hadi inamalizika vyombo vyote vikubwa vya habari nchi vilijiweka mbali na viunga vya Mahakama.

Hakuna chombo kinachofafanunua chanzo cha kesi, hoja na utetezi uliotolewa. Hakuna chombo kinachofahamu TLS iliwakiulishwa na nani? Hakuna chombo kilichojaribu kumhoji RAIS wa TLs wala kwa namna yoyote kuunga mkono mapambano ya Mwambukusi.

Je vyombo hivi vinakatazwa kufuatilia habari kama hizi? Nani anawakataza? Kwanini leo wote wameandika habari inayofanana? Kwanini hakuna clip nyingine tofauti na ile aliyoandaa Mwambukusi na timu yake?

Nani anaweka huu uoga kwa wana habari? Kwa malengo gani?
Wamenunuliwa watu wa media.
Huku ndiko ninako kuita 'KUTEKWA' kwa waTanzania na CCM.
Siyo vyombo vya habari na waandishi pekee, bali hadi vyama vyote vya upinzani; wote ni wahanga wa utekwaji huu.
Msichokijua ni kwamba Waandishi wa Habari wengi sana ni aidha 'Chawa' wa Watawala au ni 'watu wao' wapo kwenye 'Payroll' ya wavaa kaunda suti. Waandishi wa Habari wengi ni 'Secret Informers' wa wale jamaa, wapo kwenye hivi Vyombo vya Habari kimkakati zaidi. Kutokuhudhuria kwao kwenye hiyo Kesi ya Wakili Mwabukusi siyo suala la bahati mbaya, bali ni mkakati wa makusudi, unaweza ukaona kuwa Waandishi wa Habari hao wote tayari walishapewa taarifa mapema kabisa juu ya Uamuzi wa hiyo Kesi, kwa hiyo wakaona hakuna sababu ya kuhudhuria Mahakamani kwa kuwa Uamuzi wa Kesi husika upo kinyume na maslahi yao.
In short, Most of the Journalists are the Spy Agents or Undercover Agents for the regime. They're Propaganda Operatives for the regime.
 
Msichokijua ni kwamba Waandishi wa Habari wengi sana ni aidha 'Chawa' wa Watawala au ni 'watu wao' wapo kwenye 'Payroll' ya wavaa kaunda suti. Waandishi wa Habari wengi ni 'Secret Informers' wa wale jamaa, wapo kwenye hivi Vyombo vya Habari kimkakati zaidi. Kutokuhudhuria kwao kwenye hiyo Kesi ya Wakili Mwabukusi siyo suala la bahati mbaya, bali ni mkakati wa makusudi, unaweza ukaona kuwa Waandishi wa Habari hao wote tayari walishapewa taarifa mapema kabisa juu ya Uamuzi wa hiyo Kesi, kwa hiyo wakaona hakuna sababu ya kuhudhuria Mahakamani kwa kuwa Uamuzi wa Kesi husika upo kinyume na maslahi yao.
In short, Most of the Journalists are the Spy Agents or Undercover Agents for the regime. They're Propaganda Operatives for the regime.
Umemaliza mkuu, sipingi, siongezi wala kupunguza neno hapa!
 
Leo huku ya shauri alilofungua Maambukusi imetoka. Wakati kesi hii inaanza hadi inamalizika vyombo vyote vikubwa vya habari nchi vilijiweka mbali na viunga vya Mahakama.

Hakuna chombo kinachofafanunua chanzo cha kesi, hoja na utetezi uliotolewa. Hakuna chombo kinachofahamu TLS iliwakiulishwa na nani? Hakuna chombo kilichojaribu kumhoji RAIS wa TLs wala kwa namna yoyote kuunga mkono mapambano ya Mwambukusi.

Je vyombo hivi vinakatazwa kufuatilia habari kama hizi? Nani anawakataza? Kwanini leo wote wameandika habari inayofanana? Kwanini hakuna clip nyingine tofauti na ile aliyoandaa Mwambukusi na timu yake?

Nani anaweka huu uoga kwa wana habari? Kwa malengo gani?
Rais wa TLS hana mamlaka ya kuzuia hukumu wa mahakama.
 
Back
Top Bottom